Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala
asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda
kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?
MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda
urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. Akafunga
mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo.
asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda
kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?
MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda
urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. Akafunga
mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo.