Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,203 Dec 24, 2018 #21 DsmicSound said: WANAWAKE WAKIKAZA...NO UZINZI... Click to expand... Ungeanza kuwashauri Familia yako kwanza wakikuelewa uje kwa wengine, utakufa kwa presha, vidonda vya tumbo kwa kuumia, kuchukia maisha ya watu wengine kila mtu atabeba dhambi zake.
DsmicSound said: WANAWAKE WAKIKAZA...NO UZINZI... Click to expand... Ungeanza kuwashauri Familia yako kwanza wakikuelewa uje kwa wengine, utakufa kwa presha, vidonda vya tumbo kwa kuumia, kuchukia maisha ya watu wengine kila mtu atabeba dhambi zake.