Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
We utafanywa punda (mule) wa kubeba madawa ya kulevya. Utapata vipesa vya kukuzuzua, Utakamatwa, utafungwa na hatimaye utasota. Toka mapema. Kwani huyo mtu anayekuahidi kukupa umaarufu yeye ni maarufu kiasi gani? Ongeza na za kwako.cash sio tatizo coz anani shauri nifungue kampuni alafu nimwambie nahitaji nini!na ameniunganisha na watu mbali mbali kwenye makampuni ya kuuza bidhaa ulimwenguni....nayeye ni mfanya biashara na mbunifu wa mavadhi