Ni kweli Michael Richard Wambura anapambana kuhakikisha anapata uongozi Simba.
Wakati akifanya hivyo, kumekuwepo na nguvu za ndani na nje ya Simba SC. kuhakikisha hapati fursa hiyo.
Kutokana na hali hiyo, sasa ni wazi kuwa iwapo atavuka kikwazo cha sasa Simba itapasuka kwani kuna uwekezaji mkubwa unaofanywa kuhakikisha havuki. Ndiyo, anaweza kuwavutia wanachama na hatimaye akapata cheo anachokihitaji, lakini je, klabu ya Simba, kama Yanga, haijiendeshi bali inaendeshwa moja kwa moja, ama kinyume chake na kundi la wachache. Swali ni je, Wambura anataka aachiwe 'shuzi' la Simba?
Wakati akifanya hivyo, kumekuwepo na nguvu za ndani na nje ya Simba SC. kuhakikisha hapati fursa hiyo.
Kutokana na hali hiyo, sasa ni wazi kuwa iwapo atavuka kikwazo cha sasa Simba itapasuka kwani kuna uwekezaji mkubwa unaofanywa kuhakikisha havuki. Ndiyo, anaweza kuwavutia wanachama na hatimaye akapata cheo anachokihitaji, lakini je, klabu ya Simba, kama Yanga, haijiendeshi bali inaendeshwa moja kwa moja, ama kinyume chake na kundi la wachache. Swali ni je, Wambura anataka aachiwe 'shuzi' la Simba?