Wamasai wawapa sumu simba mbugani

Wamasai wawapa sumu simba mbugani

Hazikuanzishwa, zilikuwepo au kuwekewa mipaka, je wasiongezeke, na wamasai nao wakiongezeka unategemea wasijaze mbuga ama
Hayo maeneo wanyama wameishi tangu karne na wamasai pia vivyo hivyo mpaka pale yalipogeuzwa hifadhi.

Kama zimeshakuwa hifadhi lazima ziwekewe udhibiti ila utaratibu mzuri wa kuwaondoa ufanyike mfano kuwahamishia maeneo mapya watakapoweza kuchunga mifugo yao na kulima isiwe kuwachomea maboma na kuwatoa kwa nguvu.
 
Hayo maeneo wanyama wameishi tangu karne na wamasai pia vivyo hivyo mpaka pale yalipogeuzwa hifadhi.

Kama zimeshakuwa hifadhi lazima ziwekewe udhibiti ila utaratibu mzuri wa kuwaondoa ufanyike mfano kuwahamishia maeneo mapya watakapoweza kuchunga mifugo yao na kulima isiwe kuwachomea maboma na kuwatoa kwa nguvu.
Ata dunian binadam tumiesh na wanyama vizuri mpaka sahv tunapoiharibu dunia
Miaka kama 50 badae wamasai watakuwa kama milion 9 umo mbugan, sa unategemea nn
 
Sio ukatili wamasai wameishi miaka na miaka na hao wanyama kwa njia hizo za asili
Wameanza kuish kama ukoo ila sahv ni kabila na baadae litakuwa si kabila tena, kumbuka zamani almost bara zima lilikuwa ni pori la wanyama na wanyama walikuwa wanafika miji ambayo sahv huwezi kuota wanafika
 
Hizi movies za zamani sana hata kabla ujazaliwa
Kama ni zamani basi jua sikuiz ndo yameongezeka maana wamasai wameongezeka, anyways hyo ni ya juzi tu apa si zamani
 
Hizi movies za zamani sana hata kabla ujazaliwa
Ukitaka kujua kama ni ukweli au uongo muite mmasai msifie af muulize kama sikuiz bado wana ubavu wa kuua simba atakueleza kila kitu
 
Daah hiyo ni sumu kabisa huko ndio hicho kijiji walichouawa watoto watatu wa familia moja na kuliwa...
Ilisikitisha sana tena watoto wa darasa la tatu
Halafu unaambiwa ukikutana na simba waite askari maliasili waje kuwatoa hapo ndo huwa sielewagiii asee
 
Hao jamaa wanasema Simba yuko exhausted labda baada ya kujihami usiku mzima
Ila walipomuona tena kavunjika miguu ndio wakarudi tena

Ila kwenye video mbona hawaongelei kupewa sumu? Au hali halisi ndio hiyo kuwa wanapewa sumu
 
Eti wamaasai wahamishwe? Mpuusu long'ui, meera enkanyit! Eroo, kwani simba uliwazaa wewe?
 
Back
Top Bottom