Hii vita bora wamasai watolewe mbugani
Mnauwa mbuga, binadam ni tishio kukaa mbuganiWakati wanyama wenu wanaua mifugo yetu na kutuua mlikuwa mpo bize na Mambo yenu,
Tulieni na sisi tufanye yetu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Insue inajulikana, we unategemea wanafurahi kuona mifugo yao inaliwa au simba wanakuwa tishioUmejuaje mkuu kwamba
1)Hiyo ni sumu wamepewa?
2)kwamba ni wamasai?
Tukisema umefanyika mchezo wa kuwafarakanisha wamasai na serikali yao tutakuwa tuna kosea?
Mbona huko na ukatili?Simba wanaua watoto waachwe tu eti eeh, hyo mbinu wameitumia wamasai miaka na miaka ya kuishi na wanyama, sasa hii kujifanya kuwaondoa wamasai badala ya hao Simba ni uwehu
Sasa ni serikali ichague mbuga izidi kukaa humo simba wafe ama wawabadirishie wamasai maeneoSimba wanaua watoto waachwe tu eti eeh, hyo mbinu wameitumia wamasai miaka na miaka ya kuishi na wanyama, sasa hii kujifanya kuwaondoa wamasai badala ya hao Simba ni uwehu
wazee wa fursa wanataka kumla King of the Jungle.Naona wazee wa kazi wanamsuburia simba avute ili wamfakamie
Kuna njia nyingi za kuwadhibiti simba kuuwa sio best solution......Simba wanaua watoto waachwe tu eti eeh, hyo mbinu wameitumia wamasai miaka na miaka ya kuishi na wanyama, sasa hii kujifanya kuwaondoa wamasai badala ya hao Simba ni uwehu
Maasai hawali nyamapori! Sorry, kumbe unazungumzia wasafisha pori?wazee wa fursa wanataka kumla King of the Jungle.