Aache uongo lugha yenyewe kwenye koran ni utata ataipendaje au kwa kuikalia tu... pengine hajasoma yaliyoandikwa humo na kuelekeza kutenda kama yalivyoandikwa... kwanza avae baibui na afunike sura yote abakize macho tu... kuna habari za ukweli na za uongo na habari hii ni ya uongo au ya waongo...
Koran mchezo mumewe amletee wake watatu home mziki utaanza hapo hapo na akiambiwa ni koran hiyo ndio imeagiza atakuambia i was not serious kudadeki... au akiambiwa kaue watu kwa bomu utaenda peponi na kupewa mabikra 70 khah
Labda kwa biblia iliyochakachuliwa, lakini katika uislam nguzo mojawapo ya imani ni kuamini vitabu vyote vya mwenyezi mungu yaani torati, zaburi, injili na qur'an
Mkuu samahani naomba ufafanuzi kidogo- 1- unaposema lugha yenyewe kwenye Qur'ani ni utata unamaanisha nini
2- Hapo kwenye kuvaa baibui na kufunika sura yote unakusudia kutufikishia ujumbe gani?????
3- Hapo kwenye kuletewa wake watatu,naomba andiko na maelekezo aliyopewa huyo mwanaume wa kuoa mwanamke zaidi ya mmoja
4 - Akiambiwa akaue na nani ?????????????? kwasababu gani ?????????? aliwakosea nini ???????? na unipe andiko na ufafanuzi wa andiko hilo lilikusudia nini ( kumbuka kila andiko la qur'an lina ufafanuzi wake wa nini kilikusudiwa kutolewa kwa hilo andiko)
Naomba majibu ya hayo maswali.
mungu ndio nini nyinyi?anapatikana wapi?acheni kuamini vitu ambavyo havipo.
Si kweli, nakupinga haya unayoyasema na ni kinyume na mafundisho ya Uislam.Lakini Fahamu Muislam si Ndugu zako Muislam atakuita kafr hadi Kiama Chake.... na ana chuki kwa wewe usiye Muislam ndivyo wanavyofundishwa... mtaelewana kama kuna maslai kwake na si vinginevyo.... hili lipo wazi...
Mimi bado Allah na mungu wananichanganya ukisoma quran Kuna wakati inaonyesha ni wawili tofauti.
Kuna Mwenyezi Mngu na Mungu na Allah Ewe Muislam hebu Tatua.... hivi VitatuKimatira ni vema sana kama utatoa maana ya mungu na allah kwa kadri ya uelewa wako,pili ungetuwekea hivyo vifungu vilivyokuchanga kutoka ndani ya Qur'an tuweze kukuelewesha.
Sio kila kitu cha kukcomment vingne viache vipite
Si kweli, nakupinga haya unayoyasema na ni kinyume na mafundisho ya Uislam.
Labda hapa JF lakini kwa maisha yetu ya Uswahilini hakuna hii michongo mnayotaka kutuletea.
Ujue kuna vitu vingi vinaendelea hapa, hasa vya kidini kwa kweli ni tofauti na maisha yetu tunayoishi kila siku Uswahilini hadi mimi huwa nashangaa kwa kweli!
Mimi hata siku moja sijawahi kufundishwa hivi vitu unavyovitamka hapa, na kwa kweli ni vitu vigeni sana kwa upande wangu.
Tatizo kuna watu wanaangalia zile kanda za midahalo matokeo yake zinawapotosha na kuuchukulia Uislam tofauti.
Na vile vile kuna watu ambao wanachanganya Siasa na Uislam na kwa lengo moja tu, la kutuharibia, kutupakazia
Mimi naomba niishie hapa, siku njemaTunaishi vizuri Mitaani ila ki ukweli ndio hivyo Mioyoni Waislam hawawapendi Wakristo zaidi ya Maslai tu... Hata Mwamedi alisema Waislam washirikiane na Wasio Waislam na Mayahudi katika Biashara na kuwapa uhuru wao wa Kuabudu ila Chuki ukitaka kuziona nenda Zenji huko ndio Balaa
Hivi unaijuaa biblia wewe?Labda kwa biblia iliyochakachuliwa, lakini katika uislam nguzo mojawapo ya imani ni kuamini vitabu vyote vya mwenyezi mungu yaani torati, zaburi, injili na qur'an
Daah we jamaa kweli politenadhani unawajua wanaongoza kwa kutolewa majini, siwezi sema huwa wanayatolea kwenye biblia,Uwamuzi wa mtume wangu Yesu kuyapeleka yale majini kwenye kundi la nguruwe siwezi sema alikurupuka.
Jihad john sijui alisoma Quraan na kusilimu wapi?
Nakushauri soma Quraan uwe na uwelewa,kusilimu ni maamuzi yako kama utauona ni muongozo sahihi,kwani hio Quraan imejipambanua yenyewe kua haikulazimishi uiamini.
Hilo tu?Qur an umechukua vitabu vyote ndo ukaona hata uwe na bible la kale majibu yapo katika Qur an, waislamu hatumtambui jesus tu kama mtoto wa mungu.
Ukishajua kuwa Qur'an iliandaliwa ili kupinga baadhi ya mafundisho ya kikristu haita kupa shida tenaMungu wa Bible na mungu wa quran ni tofauti.
Hawa wanaamini katika mungu wa utatu mtakatifu(trinity) hawa wanaamini katika mungu mmoja.
Quran, 5:73 ?They do blaspheme who say: Allah is one of three in a Trinity: for there is no god except One Allah. If they desist not from their word (of blasphemy), verily a grievous penalty will befall the blasphemers among them.?