Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 987
- 1,912
kuna mtoto wa dada cjui anashida gan...afya yake sio nzuri ana mwaka mmoja ana kg 8... mtoto hali kitu chochote zaid ya uji na maji tu bt uji anauchanganyia....
mahindi
mchele
mtama mweupe
uele
ngano
ulezi
na maziwa
karanga na uwa anampa yai la kienyej maea 3 kwa wk analichanganya kwenye uji
ratiba yake iko hv
saa 2 uji
saa 7 uji
saa 12
saa 3 uck uji au maziwa ...au parachichi maana ndo analokula
je anakosea wp? mbona afya ya mtoto mbaya
NB
anapewa uji sababu chakula kingine hatak kula kabisa hata hakabweje
mahindi
mchele
mtama mweupe
uele
ngano
ulezi
na maziwa
karanga na uwa anampa yai la kienyej maea 3 kwa wk analichanganya kwenye uji
ratiba yake iko hv
saa 2 uji
saa 7 uji
saa 12
saa 3 uck uji au maziwa ...au parachichi maana ndo analokula
je anakosea wp? mbona afya ya mtoto mbaya
NB
anapewa uji sababu chakula kingine hatak kula kabisa hata hakabweje