jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 192
Wamakonde ni noma,
katika kuwafukuza wamakonde ambao walikuwa wamezagaa town bila kazi serikali iliamua kutumia mbinu ya kuwauliza maswali ili kuwabaini coz walikuwa wamejichanganya na raia wengine. Wakakutwa wamakonde wanne wamekaa pamoja, kazi ikaanza;
Askari: wewe kuja hapa, jina lako nani?
Mmakonde wa kwanza; mini naitwa Achumani (akachukuliwa wakamtupa kwenye karandinga),
wa pili akaulizwa akajibu " mimi naitwa ucheni (yaan hussein) nae akaingizwa kwenye ndinga.
Yule wa tatu alipoulizwa jina akastuka, akawaza akilini kuwa ukitaja jina unakamatwa, so alipoulizwa wewe unaitwa nani, akajibu " chichemi jina langu chacha maana mnataka kunikamata na mimi kama achumani na ucheni" nae wakamsweka kwenya karandinga.
Huyu wa nne akjisemea moyoni mi wakiniuliza nakaa kimya sijibu tuone kama watanikamata, alipoulizwa akakaa kimya, kaulizwa kama mara tatu kimyaaa. Askari wakaambiana kuwa huyu tuachane nae anaonekana sio mmakondo. Ile wamemuacha wanaondoka tu, jamaa akawashukuru kwa kusema " achante chana achkari kwa kuniacha huru" nae wakamsweka ndani. Hizi lafudhi ni noma aisee
katika kuwafukuza wamakonde ambao walikuwa wamezagaa town bila kazi serikali iliamua kutumia mbinu ya kuwauliza maswali ili kuwabaini coz walikuwa wamejichanganya na raia wengine. Wakakutwa wamakonde wanne wamekaa pamoja, kazi ikaanza;
Askari: wewe kuja hapa, jina lako nani?
Mmakonde wa kwanza; mini naitwa Achumani (akachukuliwa wakamtupa kwenye karandinga),
wa pili akaulizwa akajibu " mimi naitwa ucheni (yaan hussein) nae akaingizwa kwenye ndinga.
Yule wa tatu alipoulizwa jina akastuka, akawaza akilini kuwa ukitaja jina unakamatwa, so alipoulizwa wewe unaitwa nani, akajibu " chichemi jina langu chacha maana mnataka kunikamata na mimi kama achumani na ucheni" nae wakamsweka kwenya karandinga.
Huyu wa nne akjisemea moyoni mi wakiniuliza nakaa kimya sijibu tuone kama watanikamata, alipoulizwa akakaa kimya, kaulizwa kama mara tatu kimyaaa. Askari wakaambiana kuwa huyu tuachane nae anaonekana sio mmakondo. Ile wamemuacha wanaondoka tu, jamaa akawashukuru kwa kusema " achante chana achkari kwa kuniacha huru" nae wakamsweka ndani. Hizi lafudhi ni noma aisee