Wamakonde ni noma

Wamakonde ni noma

jino kwa jino

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
794
Reaction score
192
Wamakonde ni noma,
katika kuwafukuza wamakonde ambao walikuwa wamezagaa town bila kazi serikali iliamua kutumia mbinu ya kuwauliza maswali ili kuwabaini coz walikuwa wamejichanganya na raia wengine. Wakakutwa wamakonde wanne wamekaa pamoja, kazi ikaanza;
Askari: wewe kuja hapa, jina lako nani?
Mmakonde wa kwanza; mini naitwa Achumani (akachukuliwa wakamtupa kwenye karandinga),

wa pili akaulizwa akajibu " mimi naitwa ucheni (yaan hussein) nae akaingizwa kwenye ndinga.

Yule wa tatu alipoulizwa jina akastuka, akawaza akilini kuwa ukitaja jina unakamatwa, so alipoulizwa wewe unaitwa nani, akajibu " chichemi jina langu chacha maana mnataka kunikamata na mimi kama achumani na ucheni" nae wakamsweka kwenya karandinga.

Huyu wa nne akjisemea moyoni mi wakiniuliza nakaa kimya sijibu tuone kama watanikamata, alipoulizwa akakaa kimya, kaulizwa kama mara tatu kimyaaa. Askari wakaambiana kuwa huyu tuachane nae anaonekana sio mmakondo. Ile wamemuacha wanaondoka tu, jamaa akawashukuru kwa kusema " achante chana achkari kwa kuniacha huru" nae wakamsweka ndani. Hizi lafudhi ni noma aisee
 
Baaaaaa! Hayo ya kweli au ulongo maana imeninogea bwana wewe. Hao vijana ni bora warudi ntwara.
 
Uuuuuuh! Umenibinyabinya chana mbavu jangu kwa kucheka bana!
 
Huu utani mzuri, but wamakonde humu jukwaani hawapo, nadhani wanapata gahawa(kahawa) vijiweni kutwa nzima,wengi makondakta, vibaka hapa mjini,malaya wezi, itabidi tuwawekee mabango huko vijiweni....aaah wataniiii someni bwaanaa.
 
Huu utani mzuri, but wamakonde humu jukwaani hawapo, nadhani wanapata gahawa(kahawa) vijiweni kutwa nzima,wengi makondakta, vibaka hapa mjini,malaya wezi, itabidi tuwawekee mabango huko vijiweni....aaah wataniiii someni bwaanaa.

Mkuu nitake radhi aiseee, haiwezekani unitukane kiasi hiki. ndo shida ya kuwa localised mithili ya mti, yaani kila reference unayoifanya iko centred na dsm pekee. kama ni sifa ulizotaja hapo juu mbona ziko karibu maeneo yote ya nchi hii! open up your mind and think outside the box!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom