Awamu ya tano imepambana sana kwenye ujenzi wa barabara, mitaro na njia za waenda kwa miguu.
Pamoja na kutumika kwa fedha zote hizo bado kero ya waenda kwa miguu haijatatuliwa kutokana na uvamizi wa machinga katika njia hizo.
Je, serikali haioni ni wakati sasa wa kuwaondoa machinga katika njia hizo?
Jiji kama Dar es Salaam halivutii kila mahali ni kusukumana kutokana na ufinyu wa njia.
Pamoja na kutumika kwa fedha zote hizo bado kero ya waenda kwa miguu haijatatuliwa kutokana na uvamizi wa machinga katika njia hizo.
Je, serikali haioni ni wakati sasa wa kuwaondoa machinga katika njia hizo?
Jiji kama Dar es Salaam halivutii kila mahali ni kusukumana kutokana na ufinyu wa njia.