Vipi mkuu ulifanikiwa kupata kazi?Japo hii Thread ya siku nyingi, Ila nami wameniita tarehe 9 June, next week alhamisi, huko mbeya; Wamenipigia simu, pia wametuma email yenye maelekezo mengi yu ikiwamo kurudishiwa gharama za usafiri na malazi nitakapokwenda kwenye usaili wao huo.
Mwenye Update mpya za mwaka huu atujuze jamani. Naomba kuwasilisha