Walokole wanashangaza

Walokole wanashangaza

Ndo kanuni yake...na ndo mana unaruhusiwa kufanya maamuzi uyatakayo...kuwa mzinzi, muuaji, mchawi n.k au kuwa mwema na mwaminifu...uchaguzi ni wako....na ndo mana tupo watu wa kila aina duniani na wote tunadunda kama kawa
Yap tena anatulinda na kutubariki maisha mazuri, watoto, mali, nyumba, nk mpaka unaweza kusema tuko watatifu
 
Anajiita mlokole anaishi na mume hawajafunga ndoa hii imekaaje
 
sasa kwani umelazimishwa si uende imani unayotaka, au umeshikiwa bastola?
 
Ni kwa sababu Mungu ana taka watu wawe na uhuru wasimpende wala kumtumikia kwa kulazimishwa au kushurutishwa na kufosiwa bali aamue na kuchagua mtu mwenyewe kwa hiari yake kiufupi Mungu niwa demoklasia sana ingekuwa analazimisha mbona kila mtu angekuwa anamtumikia yy maana uwezo wa kukufanya umpende na kumtumikia anao ila ameeacha kwa kuwa ana demokrasia.....

NB: hata kama Mungu ni mvumilivu na anademokorasia na halazimishi ila ipo siku yake alioipanga ikifika hakuna cha msalia mtume watenda mabaya wote atatutia kibiriti cha moto usizimika milele..kwa tufanye kila liwezekanalo tuache njia zetu mbaya tumuleje baba yetu.. Maana anaon kila linalofanyika kote duniani na anashikwa na hasira sana ila anagoja siku ifike tutalia kilio cha kusaga meno tutamani aridhi ipasuke tujifiche ila wapi.
so tutapata taabu sannnaaaaa.!
 
Akina Rose Muhando hao, unaburuzwa na kutumiwa na watu, wewe unasema uko kwenye vita!
 
Askofu Desmond Tutu alipata kusema "Wakoloni walipokuja walikuja na biblia wakatuambia tufumbe macho tuombe.Tulipofumba tunaomba tulipofumbua tukajikuta tumebaki na biblia na wao wamechukua ardhi yetu"

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Imeandikwa samehe hata mara 70 , ni kosa gani shetani alifanya mpaka Mungu asimsamehe ? Kama Mungu hakusamehe sisi binadamu itakuwaje ? Basi jino kwa jino . Ndio maana wanaompa shetani company wana uwezo mkubwa kifedha ! Habari nyeti zinasema shetani kafanya mapinduzi na dunia yote ni yake ! Chunguza kila penye mafanikio ya kutisha shetani yupo .
 
Back
Top Bottom