Ni kwa sababu Mungu ana taka watu wawe na uhuru wasimpende wala kumtumikia kwa kulazimishwa au kushurutishwa na kufosiwa bali aamue na kuchagua mtu mwenyewe kwa hiari yake kiufupi Mungu niwa demoklasia sana ingekuwa analazimisha mbona kila mtu angekuwa anamtumikia yy maana uwezo wa kukufanya umpende na kumtumikia anao ila ameeacha kwa kuwa ana demokrasia.....
NB: hata kama Mungu ni mvumilivu na anademokorasia na halazimishi ila ipo siku yake alioipanga ikifika hakuna cha msalia mtume watenda mabaya wote atatutia kibiriti cha moto usizimika milele..kwa tufanye kila liwezekanalo tuache njia zetu mbaya tumuleje baba yetu.. Maana anaon kila linalofanyika kote duniani na anashikwa na hasira sana ila anagoja siku ifike tutalia kilio cha kusaga meno tutamani aridhi ipasuke tujifiche ila wapi.