mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,758
akili lazima iwe neutral na misisimko iwe active high mwilini ndio utaanza kuamini hayo ila kwenye bibilia hakuna imani wala watu wa namna hizo.
ukikwazwa huko njoo SDA.Ahsante mkuu nahamia RC hawa walokole ni wapiga kelele sana
Ndio adhabu yake ipo....na ndo mana shetani pia adhabu yake ipo....tatizo ni kwamba mchakato huo unaathir roho za watu wengi sana kwa sasa, taabu. shida, mateso na taabu ni matokeo ya mchakato huo, na roho nyingi zinashuka kaburini bila tumaini kabisa...Hilo la kudunda halijanishawishi sana mkuu,maana adhabu yake ipo tu.
Ohh!jlaniwe demokrasia tangu sasa na milele.!Ndio adhabu yake ipo....na ndo mana shetani pia adhabu yake ipo....tatizo ni kwamba mchakato huo unaathir roho za watu wengi sana kwa sasa, taabu. shida, mateso na taabu ni matokeo ya mchakato huo, na roho nyingi zinashuka kaburini bila tumaini kabisa...
Mkuu usiseme hvo...maana udikteta ndo ungeleta matokeo mabaya zaid kuliko yaliyopo sasa.....Mungu anahitaji utii wa hiari sio utii wa hofu au wa sababu nyingine zisizo na mashiko, unamwabudu Mungu kwa sababu ni Mungu na sio kwa sababu amekupa gari...kuna siku utamwomba mkate asikupatie swali linakuja ataendelea kuwa Mungu wako..Ohh!jlaniwe demokrasia tangu sasa na milele.!
Mmmmmh!! Natamani tungeenda na mistari,lakini sasa ngoja tu nikupe ushindi yaishe..maana alitujua tu dhaifu lakini akatutupia kwanzo only like "jihadharini na hilo dude" kweli??Mkuu usiseme hvo...maana udikteta ndo ungeleta matokeo mabaya zaid kuliko yaliyopo sasa.....Mungu anahitaji utii wa hiari sio utii wa hofu au wa sababu nyingine zisizo na mashiko, unamwabudu Mungu kwa sababu ni Mungu na sio kwa sababu amekupa gari...kuna siku utamwomba mkate asikupatie swali linakuja ataendelea kuwa Mungu wako..
Ni kwa sababu Mungu ana taka watu wawe na uhuru wasimpende wala kumtumikia kwa kulazimishwa au kushurutishwa na kufosiwa bali aamue na kuchagua mtu mwenyewe kwa hiari yake kiufupi Mungu niwa demoklasia sana ingekuwa analazimisha mbona kila mtu angekuwa anamtumikia yy maana uwezo wa kukufanya umpende na kumtumikia anao ila ameeacha kwa kuwa ana demokrasia.....Mambo mengine ni magumu kuyatafakari kwa akili ya kiubinadamu!hivi kwa nini Mungu aliruhusu shetani aishi?tungeanza na hilo kwanza.
Katika mtaji ambao wale wachungaji WA me up at a ni kuwaaminisha imani.!Utakuta mtu kabeba maji dumu la lita 20 huku mwanae wa miaka miwili anamtembeza barabarani ukimuuliza kwako Hakuna maji anakuamboa haya ni ya upako.
Ukitaka kugombana nao anzia hapo
halafu wewe achana na IMANI za watuMkuu mi najua mipango ya hao jamaa wa Vatican na kanisa la rc kwa ujumla ni noma mweny macho na aone na mweny masikia na asikie pia kuna mpango wa kumsimik yule jamaa wa Vatican ndo awe mungu wa dunia hii na inatakiwa kila mtu amuabudu kwa kupenda au kwa lazima.. Hatari sanaUnaehamia RC unajua siri yake ? Ni kwa nini ni matajiri wakubwa duniani ? Ni kwa nini mkuu wa kanisa kuitwa mtakatifu ? Ni kwa nini Vatican kuwa nchi yenye mabalozi ?
YapNafikiri shetani inatumika badala ya uovu
PointNafikiri shetani inatumika badala ya uovu
Imani gani ndugu yangu tumekalilishwa uongo tutaenda motoni jifunze maandiko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
halafu wewe achana na IMANI za watu