Jesus said:
"44 You are of your father the devil, and your will is to do your father's desires. He was a murderer from the beginning, and has nothing to do with the truth, because there is no truth in him. When he lies, he speaks out of his own character, for he is a liar and the father of lies. "
John 8:44
hiyo picha kwanza ni fake, alaf huyu si sheikh wa uamsho kwa hiyo walita kutuambia amekoswa na risasi na hawezi kukoswa na risasi bali atapigwa kama ataendelea
zanzibar itakuwa huru INSHALLAH .makafiri hampendi taifa la kiislam zanzibar.kwani mnangangania kisiwa kidogo kama hiki.
You dissapoint me!
Do you really think they "missed"him?
Mbona waitetea sana hii kashafa Gaijin, sitarajii kama utakuwa na unajaribu ku-water down its implications!Kaleta uongo wapi?
Alisema wapi kuwa picha hiyo ni ya gari yake?
Kama kuna uzembe na uongo ni wa mwandika makala, maana yeye ndiye aliyeweka picha bila ya kutoa maelezo yahusikayo
Tanabahi:
Kwa kazi yoyote ya kiuandishi unayowasilisha vielelezo, inatakiwa kwa sheria na kanuni za uandishi kuweka maelezo yanayohusu vielelezo hivyo [chini ya kielelezo], pamoja na chanzo cha vielelezo hivyo
Kwenye taarifa/makala tuliyoletewa hakuna maelezo wala chanzo cha vielelezo hivyo
Angalia walikoitoa hiyo picha. Yaani huyu naye ni Sheikh kweli?
http://img.auctiva.com/imgdata/1/4/7/1/6/7/6/webimg/446309610_o.jpg
kama haifunguki copy yote halafu u paste kwenye google..
Mbona waitetea sana hii kashafa Gaijin, sitarajii kama utakuwa na unajaribu ku-water down its implications!
MNA MHUKUMU SHEKH NI MUONGO .. KWENYE HABARI HAKUNA MAHALA KASEMA HII NI GARI YANGU ... HUYU abdulahsaf ALIYELETA HIZI KHABARI NDIYE MUONGO IKIWEZEKANA AFUNGIWE UNLESS ALETE USHAHIDI SHEKH ALIONESHA HIYO PICHA NDIO GARI YAKE ...
Angalia walikoitoa hiyo picha. Yaani huyu naye ni Sheikh kweli?
http://img.auctiva.com/imgdata/1/4/7/1/6/7/6/webimg/446309610_o.jpg
kama haifunguki copy yote halafu u paste kwenye google..
sasa ni njiwa vs mleta mada
jana ilikuw muft vs sheikh ponda
mbona mnatuchanganya sana
yani mmegawanyika vipande, vipande.