😀😀sikuwa nakuongelea wewe simba bwana, mod ni kifupi cha moderator.
😀😀sikuwa nakuongelea wewe simba bwana, mod ni kifupi cha moderator.
Mazee huwezi kushindana na lile likitu.. utakuja kufa au kufanya ukatili kisa njaa za ngono,alisema rafiki yangu kutoka Nakuru,Kenya nilipomsimulia Manzi alovyozingua.Ilitakiwa huyo demu umfyatue kwa nguvu Kama ugomvi mpaka asikuzoee Tena😂😂😂😂