Walioumbwa kabla ya Adamu na Eva

Walioumbwa kabla ya Adamu na Eva

mkuu badilisha mwandiko kwanza. Tulia andika vizuri baada ya hapo uje na swali lako.

My Answer: Hakuna binadamu aliyewahi kuwako kabla ya Adam na Eva.
Mkuu unajibuje Kama hujaelewa mwandiko? Hizo ni typing errors, Ila ujumbe upo clear
 
mkuu badilisha mwandiko kwanza. Tulia andika vizuri baada ya hapo uje na swali lako.

My Answer: Hakuna binadamu aliyewahi kuwako kabla ya Adam na Eva.
Pia vipi kuhusu nchi ya "Nodi" ambayo kaini alikimbilia Mara baada ya kumuua nduguye Abeli
 
Pia vipi kuhusu nchi ya "Nodi" ambayo kaini alikimbilia Mara baada ya kumuua nduguye Abeli
You happen to be missing something. Correct your details and then come back here, it 'd save much time if it were the discussion of some piece of proven stuffs
 
You happen to be missing something. Correct your details and then come back here, it 'd save much time if it were the discussion of some piece of proven stuffs
Mr I stand to be corrected, I want to know more that's why am here
 
Back
Top Bottom