Waliotesa Machinga Mwanza kukiona

Waliotesa Machinga Mwanza kukiona

G 4real

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
454
Reaction score
212
STANSLAUS Mabula, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana (CCM) amesema kuwa, atawatafutia wanasheria wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) kuwashitaki wakuu wa Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Wakuu hao ni Marry Tesha (Nyamagana) na Dk. Leonard Masale (Ilemela), mwingine atakayeunganishwa kwenye kesi hiyo anatajwa kuwa Kiomoni Kibamba, Mkurugenzi wa Jiji hilo kwa madai ya kuharibu bidhaa za machinga na kuvunja mabanda yao ya biashara.

Tarehe 3 Desemba mwaka huu, wakuu wa wilaya hizo na mkurugenzi huyo walifanya oparesheni ya kuwaondoa machinga mjini, kabla ya Rais John Magufuli kuagiza warejeshwe kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Mabula ametoa kauli hiyo leo wakati akihutumbia Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya gari ndogo ‘hiace’ Igoma Kata ya Igoma Wilaya ya Nyamagana jijini humo.

Mabula amesema kuwa, uamuzi wa kuwaondoa machinga hao kutoka katikati ya jiji ulichukuliwa na viongozi hao kwa kukurupuka huku akidai kuwa, hayupo tayari kuona machinga hao wakionewa akiangalia.

Pia amewataka Machinga kukaa na kuangalia ni athari ya bidhaa zao zilizoharibiwa pamoja na mabanda yao ili awatafutie wanasheria watakaowasaidia kufungua kesi mahakamani ili haki ipatikane.

“Machinga bidhaa zao zimeharibiwa sana, tunaomba Mwenyekiti wa Machinga (Said Tembo) mkae na mfanye tathimini ya bidhaa zenu zilizoharibiwa na baada ya hapo nitawatafutia wanasheria.

“Msimamo wangu ni kuhakikisha machinga wanatengewa maeneo yaliopo katikati ya jiji na sehemu ambayo ni rahisi kufikika na sio kuwapeleka kiloleli ambako hakufikiki,”amesema Mabula.

Hata hivyo, Mabula amesema kuwa baadhi ya viongozi wa serikali hususani wakuu wa wilaya wamemchukia kwa kuwatetea machinga hao huku akidai kwamba, (machinga) ndio waliomchagua.

Said Tembo, Mwenyekiti wa Machinga mkoani Mwanza amesema kuwa, baada ya Rais Magufuli kuwarudisha mjini, kilichobaki hivi sasa wanataka kulipwa mali zao na hawatakubali kuona wakidhulumiwa.

“Machinga wengi wamekopa fedha benki, lakini tukashangaa kuona Mkuu wa Wilaya (Marry Tesha) anakuja usiku wa manane kubomoa vibanda vyetu huku akidai kwamba, hataki kuona uchafu wa machinga mjini,” amesema Tembo.

Tembo amesema kuwa, kutokana na dharau zilizooneshwa na mkuu huyo wa wilaya, hivi sasa na wao wanaomba kurudishiwa mali zao na bidhaa zao huku akiunga mkono hatua za mbunge huyo kuwatafutia wanasheria kuwafikisha viongozi hao kortini.
 
Unaweka mwanasheria akatetee watu wanaovunja sheria,

Ukienda mahakamani unanukuu sheria ipi ya kuwabeba Wateja wako(wamachinga)?

Mh jaji,nilikuwa nimepanga nguo barabarani.....una leseni ya biashara....sina......sheria ya barabara inakuruhusu....hapana.....nani alikupa kibali cha maandishi.....sijapewa.....una risiti ya kununulia nguo,sina.....sasa mahakama itajuaje idadi ya vitu vyako
 
Unaweka mwanasheria akatetee watu wanaovunja sheria,

Ukienda mahakamani unanukuu sheria ipi ya kuwabeba Wateja wako(wamachinga)?

Mh jaji,nilikuwa nimepanga nguo barabarani.....una leseni ya biashara....sina......sheria ya barabara inakuruhusu....hapana.....nani alikupa kibali cha maandishi.....sijapewa.....una risiti ya kununulia nguo,sina.....sasa mahakama itajuaje idadi ya vitu vyako
ahahaha,naona kesi imeishia hapo!huyo mama anatafuta huruma ya wana mwanza tu!
 
Unaweka mwanasheria akatetee watu wanaovunja sheria,

Ukienda mahakamani unanukuu sheria ipi ya kuwabeba Wateja wako(wamachinga)?

Mh jaji,nilikuwa nimepanga nguo barabarani.....una leseni ya biashara....sina......sheria ya barabara inakuruhusu....hapana.....nani alikupa kibali cha maandishi.....sijapewa.....una risiti ya kununulia nguo,sina.....sasa mahakama itajuaje idadi ya vitu vyako


hahahaa...hii kesi ngumu sana
 
Watu ni wanafki kiwango cha PhD, huyu si ni mmoja wawaliokuwa wanakagua maeneo yaliyoondolewa machinga na kuwapiga fine waliobaki kwenye maeneo hayo??? Tena akiwa na mkurugenzi!!! Kha!!!
 
Baada ya Rais kuwarudisha ndiyo ana jifanya kuwa naye ana meno ya kung'ata,mkuu wa wilaya ni muwakrishi wa Rais kama kesi itamshinda haoni kuwa serekali ndiyo itakuwa imeshindwa na ndiyo itakayolipa fidia?.
 
Watu ni wanafki kiwango cha PhD, huyu si ni mmoja wawaliokuwa wanakagua maeneo yaliyoondolewa machinga na kuwapiga fine waliobaki kwenye maeneo hayo??? Tena akiwa na mkurugenzi!!! Kha!!!

Mkuu huyu mbunge anatafuta kick kupitia mgongo wa machingas...

Nashangaa anaibuka too late....why haikuwa on spot anasubiri Magu kutoa muongozo ndipo aibuke??
 
Baada ya Rais kuwarudisha ndiyo ana jifanya kuwa naye ana meno ya kung'ata,mkuu wa wilaya ni muwakrishi wa Rais kama kesi itamshinda haoni kuwa serekali ndiyo itakuwa imeshindwa na ndiyo itakayolipa fidia?.


Hana lolote
 
STANSLAUS Mabula, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana (CCM) amesema kuwa, atawatafutia wanasheria wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) kuwashitaki wakuu wa Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Wakuu hao ni Marry Tesha (Nyamagana) na Dk. Leonard Masale (Ilemela), mwingine atakayeunganishwa kwenye kesi hiyo anatajwa kuwa Kiomoni Kibamba, Mkurugenzi wa Jiji hilo kwa madai ya kuharibu bidhaa za machinga na kuvunja mabanda yao ya biashara.

Tarehe 3 Desemba mwaka huu, wakuu wa wilaya hizo na mkurugenzi huyo walifanya oparesheni ya kuwaondoa machinga mjini, kabla ya Rais John Magufuli kuagiza warejeshwe kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Mabula ametoa kauli hiyo leo wakati akihutumbia Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya gari ndogo ‘hiace’ Igoma Kata ya Igoma Wilaya ya Nyamagana jijini humo.

Mabula amesema kuwa, uamuzi wa kuwaondoa machinga hao kutoka katikati ya jiji ulichukuliwa na viongozi hao kwa kukurupuka huku akidai kuwa, hayupo tayari kuona machinga hao wakionewa akiangalia.

Pia amewataka Machinga kukaa na kuangalia ni athari ya bidhaa zao zilizoharibiwa pamoja na mabanda yao ili awatafutie wanasheria watakaowasaidia kufungua kesi mahakamani ili haki ipatikane.

“Machinga bidhaa zao zimeharibiwa sana, tunaomba Mwenyekiti wa Machinga (Said Tembo) mkae na mfanye tathimini ya bidhaa zenu zilizoharibiwa na baada ya hapo nitawatafutia wanasheria.

“Msimamo wangu ni kuhakikisha machinga wanatengewa maeneo yaliopo katikati ya jiji na sehemu ambayo ni rahisi kufikika na sio kuwapeleka kiloleli ambako hakufikiki,”amesema Mabula.

Hata hivyo, Mabula amesema kuwa baadhi ya viongozi wa serikali hususani wakuu wa wilaya wamemchukia kwa kuwatetea machinga hao huku akidai kwamba, (machinga) ndio waliomchagua.

Said Tembo, Mwenyekiti wa Machinga mkoani Mwanza amesema kuwa, baada ya Rais Magufuli kuwarudisha mjini, kilichobaki hivi sasa wanataka kulipwa mali zao na hawatakubali kuona wakidhulumiwa.

“Machinga wengi wamekopa fedha benki, lakini tukashangaa kuona Mkuu wa Wilaya (Marry Tesha) anakuja usiku wa manane kubomoa vibanda vyetu huku akidai kwamba, hataki kuona uchafu wa machinga mjini,” amesema Tembo.

Tembo amesema kuwa, kutokana na dharau zilizooneshwa na mkuu huyo wa wilaya, hivi sasa na wao wanaomba kurudishiwa mali zao na bidhaa zao huku akiunga mkono hatua za mbunge huyo kuwatafutia wanasheria kuwafikisha viongozi hao kortini.
Kwani wakati wanabomolewa hayo mabanda huyo mbuge alikuwa sayari ya jupiter?
 
Hizo hela za kumlipa Wakili si bora angewapa chama cha saccos ya hao wamachinga wakakopeshana au wakaanzisha saccos yao
 
STANSLAUS Mabula, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana (CCM) amesema kuwa, atawatafutia wanasheria wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) kuwashitaki wakuu wa Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Wakuu hao ni Marry Tesha (Nyamagana) na Dk. Leonard Masale (Ilemela), mwingine atakayeunganishwa kwenye kesi hiyo anatajwa kuwa Kiomoni Kibamba, Mkurugenzi wa Jiji hilo kwa madai ya kuharibu bidhaa za machinga na kuvunja mabanda yao ya biashara.

Tarehe 3 Desemba mwaka huu, wakuu wa wilaya hizo na mkurugenzi huyo walifanya oparesheni ya kuwaondoa machinga mjini, kabla ya Rais John Magufuli kuagiza warejeshwe kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Mabula ametoa kauli hiyo leo wakati akihutumbia Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya gari ndogo ‘hiace’ Igoma Kata ya Igoma Wilaya ya Nyamagana jijini humo.

Mabula amesema kuwa, uamuzi wa kuwaondoa machinga hao kutoka katikati ya jiji ulichukuliwa na viongozi hao kwa kukurupuka huku akidai kuwa, hayupo tayari kuona machinga hao wakionewa akiangalia.

Pia amewataka Machinga kukaa na kuangalia ni athari ya bidhaa zao zilizoharibiwa pamoja na mabanda yao ili awatafutie wanasheria watakaowasaidia kufungua kesi mahakamani ili haki ipatikane.

“Machinga bidhaa zao zimeharibiwa sana, tunaomba Mwenyekiti wa Machinga (Said Tembo) mkae na mfanye tathimini ya bidhaa zenu zilizoharibiwa na baada ya hapo nitawatafutia wanasheria.

“Msimamo wangu ni kuhakikisha machinga wanatengewa maeneo yaliopo katikati ya jiji na sehemu ambayo ni rahisi kufikika na sio kuwapeleka kiloleli ambako hakufikiki,”amesema Mabula.

Hata hivyo, Mabula amesema kuwa baadhi ya viongozi wa serikali hususani wakuu wa wilaya wamemchukia kwa kuwatetea machinga hao huku akidai kwamba, (machinga) ndio waliomchagua.

Said Tembo, Mwenyekiti wa Machinga mkoani Mwanza amesema kuwa, baada ya Rais Magufuli kuwarudisha mjini, kilichobaki hivi sasa wanataka kulipwa mali zao na hawatakubali kuona wakidhulumiwa.

“Machinga wengi wamekopa fedha benki, lakini tukashangaa kuona Mkuu wa Wilaya (Marry Tesha) anakuja usiku wa manane kubomoa vibanda vyetu huku akidai kwamba, hataki kuona uchafu wa machinga mjini,” amesema Tembo.

Tembo amesema kuwa, kutokana na dharau zilizooneshwa na mkuu huyo wa wilaya, hivi sasa na wao wanaomba kurudishiwa mali zao na bidhaa zao huku akiunga mkono hatua za mbunge huyo kuwatafutia wanasheria kuwafikisha viongozi hao kortini.


Angeomba ushauri tungemwambia atumie nguvu kubwa kuwatafutia mtaji, mtaji wao haja wahi patikana mahakamani mahakamani kuna hukumu.
 
Maneno matupu ,vibanda vikibomolewa alikuwa Mombasa anacheza mpira na timu ya bunge
 
Wakati Wenje anawapigania machinga miaka yote,huyu bwana Mabula akiwa meya Alikuwa msatari wa mbele kutesa machinga,leo eti anawatetea,KUMBE UKIWA MUAFRIKA UNAKUWA NUSU KICHAA.
 
Unaweka mwanasheria akatetee watu wanaovunja sheria,

Ukienda mahakamani unanukuu sheria ipi ya kuwabeba Wateja wako(wamachinga)?

Mh jaji,nilikuwa nimepanga nguo barabarani.....una leseni ya biashara....sina......sheria ya barabara inakuruhusu....hapana.....nani alikupa kibali cha maandishi.....sijapewa.....una risiti ya kununulia nguo,sina.....sasa mahakama itajuaje idadi ya vitu vyako
Teh teh teh teh teh kesi inaishia hapo
 
Unaweka mwanasheria akatetee watu wanaovunja sheria,

Ukienda mahakamani unanukuu sheria ipi ya kuwabeba Wateja wako(wamachinga)?

Mh jaji,nilikuwa nimepanga nguo barabarani.....una leseni ya biashara....sina......sheria ya barabara inakuruhusu....hapana.....nani alikupa kibali cha maandishi.....sijapewa.....una risiti ya kununulia nguo,sina.....sasa mahakama itajuaje idadi ya vitu vyako
Kumbe iparamasa nawe ni kichwa hongera sana jina kama la kijiji nachotoka
 
STANSLAUS Mabula, Mbunge wa Jimbo la Nyamagana (CCM) amesema kuwa, atawatafutia wanasheria wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) kuwashitaki wakuu wa Wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Wakuu hao ni Marry Tesha (Nyamagana) na Dk. Leonard Masale (Ilemela), mwingine atakayeunganishwa kwenye kesi hiyo anatajwa kuwa Kiomoni Kibamba, Mkurugenzi wa Jiji hilo kwa madai ya kuharibu bidhaa za machinga na kuvunja mabanda yao ya biashara.

Tarehe 3 Desemba mwaka huu, wakuu wa wilaya hizo na mkurugenzi huyo walifanya oparesheni ya kuwaondoa machinga mjini, kabla ya Rais John Magufuli kuagiza warejeshwe kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Mabula ametoa kauli hiyo leo wakati akihutumbia Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Stendi ya gari ndogo ‘hiace’ Igoma Kata ya Igoma Wilaya ya Nyamagana jijini humo.

Mabula amesema kuwa, uamuzi wa kuwaondoa machinga hao kutoka katikati ya jiji ulichukuliwa na viongozi hao kwa kukurupuka huku akidai kuwa, hayupo tayari kuona machinga hao wakionewa akiangalia.

Pia amewataka Machinga kukaa na kuangalia ni athari ya bidhaa zao zilizoharibiwa pamoja na mabanda yao ili awatafutie wanasheria watakaowasaidia kufungua kesi mahakamani ili haki ipatikane.

“Machinga bidhaa zao zimeharibiwa sana, tunaomba Mwenyekiti wa Machinga (Said Tembo) mkae na mfanye tathimini ya bidhaa zenu zilizoharibiwa na baada ya hapo nitawatafutia wanasheria.

“Msimamo wangu ni kuhakikisha machinga wanatengewa maeneo yaliopo katikati ya jiji na sehemu ambayo ni rahisi kufikika na sio kuwapeleka kiloleli ambako hakufikiki,”amesema Mabula.

Hata hivyo, Mabula amesema kuwa baadhi ya viongozi wa serikali hususani wakuu wa wilaya wamemchukia kwa kuwatetea machinga hao huku akidai kwamba, (machinga) ndio waliomchagua.

Said Tembo, Mwenyekiti wa Machinga mkoani Mwanza amesema kuwa, baada ya Rais Magufuli kuwarudisha mjini, kilichobaki hivi sasa wanataka kulipwa mali zao na hawatakubali kuona wakidhulumiwa.

“Machinga wengi wamekopa fedha benki, lakini tukashangaa kuona Mkuu wa Wilaya (Marry Tesha) anakuja usiku wa manane kubomoa vibanda vyetu huku akidai kwamba, hataki kuona uchafu wa machinga mjini,” amesema Tembo.

Tembo amesema kuwa, kutokana na dharau zilizooneshwa na mkuu huyo wa wilaya, hivi sasa na wao wanaomba kurudishiwa mali zao na bidhaa zao huku akiunga mkono hatua za mbunge huyo kuwatafutia wanasheria kuwafikisha viongozi hao kortini.
anajitafutia matatizo kama hao walifuata maagizo kutoka juu itakuwaje?
 
Back
Top Bottom