Tanzania competition ni kubwa lakini masomo ya afya hasa nurse si wanaangalia zaidi chemistry na biology au?Lazima kwanz ukidhi tanzania ndo ukasomee hizo kozi uganda lasivyo unajichimbia kaburi .wenzenu walio enda india kusoma wanateseka mtaani board zinawakataa
Pitia guide book.Tanzania competition ni kubwa lakini masomo ya afya hasa nurse si wanaangalia zaidi chemistry na biology au?
Wanataka minimum D kaka Kwa TCU, (3 principle pass )lakini sijajua Kwa nje ya nchi kama uganda ukiwa na E je TCU watakuruhusu ukasome na ukirudi Tanzania wataikubali degree.Pitia guide book.
Inataka minimum E kwa physics
Unaambiwa unatakiwa ukidhi vigezo vya kudahiliwa nchini ndio ukaombe nje.Wanataka minimum D kaka Kwa TCU, (3 principle pass )lakini sijajua Kwa nje ya nchi kama uganda ukiwa na E je TCU watakuruhusu ukasome na ukirudi Tanzania wataikubali degree.