Tupo wengi wa enzi hizo. Pamoja na uliowataja nawakumbuka pia Muganda, Mathias, Begashe, Kituka, Gikondo. Pia kuna wanafunzi kama Ansbert Mgamba, Diocles Rutahindurwa na Simon Odunga
Kituka ni marehem (hakuwa mwalim bali storekeeper) kweli Mkuu mambo ya RPM kipindi kile utakumbuka. Pia Mwl. Malalika alinifundisha history nikapiga Banda hatari NECTA, nikamtunuku kupitumia id hii hapa jamvini.
Ha ha ha! hilo lilikuwa bweni langu! kulikuwa na toilet pembeni yake mtu ukiingia unaacha shati nje! Mbali na hapo ukiingia darasani kila mtu utasikia "nani katoka magharibi jamani" maana hiyo harufu ha ha ha! Ni product ya A level year 2000! Namkumbuka mwalimu wangu wa Geography - Mwl. Amos!
mwaka 99 nakumbuka tulienda kucheza mpira baada ya mechi ikazuka vurugu kubwa sana,tuliwakimbiza sana mara sec na vurugu ziliendelea njia nzima na kuna magari yalivunjwa vioo njiani.....usiku zilikuja defender mbili kuja kuwakamata wanafunzi lkn nao wakapigwa mawe walipofika shuleni......basi siku hiyo palipigwa sana mabomu ya machozi na wanafunzi tulikimbilia milimani hadi asbh....enzi hizo katibu mwita magessa.....!watu walipinda sana kipindi kile.
mwaka 99 nakumbuka tulienda kucheza mpira baada ya mechi ikazuka vurugu kubwa sana,tuliwakimbiza sana mara sec na vurugu ziliendelea njia nzima na kuna magari yalivunjwa vioo njiani.....usiku zilikuja defender mbili kuja kuwakamata wanafunzi lkn nao wakapigwa mawe walipofika shuleni......basi siku hiyo palipigwa sana mabomu ya machozi na wanafunzi tulikimbilia milimani hadi asbh....enzi hizo katibu mwita magessa.....!watu walipinda sana kipindi kile.
Kwenda kuvinjari MAKONDEKO,kunya SERENA,free pass kwenye msosi na kukumbana na wapishi akina mzee Sabato na Matogolo,mademu wa Songe sec.walikuwa halali yetu,n.k.Ila moshi wa Mutex ulitutesa!!!