Hahaha umenikumbusha mbali we tulimaliza wote mkuu nadhani unakumbuka ubabe wa Isaya.. alivyokuwa anatupeleka speed bila ya kumsahau Manase... Hahaaa mwendo wa Fongo
wakuuu mimi nimehitimu hapo lyamungo 2014- advanced level.....mkuu wangu ni Sanga na mpaka sasa yeye ndio mkuu wa shule. Kwa kiasi kikubwa Mr Sanga kafanikiwa kuibadilisha ile shule, lyamungo ya sasa ni kama seminary.....