johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Chaguzi za Tanzania kuanzia Chadema, CCM, Daruso, TLS, TFF, KKKT, Anglikana nk zinafanana kwa sababu mbinu za kutafuta Ushindi zinazotumika ni zile zile
Wachungaji wa KKKT huwa wanagombea Ubunge Ndio sababu tunasema Dini na Siasa haziwezi kutenganishwa
Hongera Mwanafyale Baba askofu Dr Alex Malasusa PhD
Wachungaji wa KKKT huwa wanagombea Ubunge Ndio sababu tunasema Dini na Siasa haziwezi kutenganishwa
Hongera Mwanafyale Baba askofu Dr Alex Malasusa PhD