Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,386
Wakati wa kampeni ndani ya CHADEMA, kuna baadhi ya watu walikuwa wanawaambia wafuasi wa Lissu kuwa "hakuna kuhama chama" kama wakishindwa uchaguzi ule.
Leo hii lile kundi lililokuwa linawaambia wenzao kuwa hakuna kuhama chama, lenyewe ndiyo limo kwenye harakati za kutaka kuharibu chama.
Mengi yanasemwa lakini ukweli ni kwamba hilo kundi haliwezi kuiyumbisha CHADEMA na lenyewe Siyo watu maalum sana ndani ya CHADEMA.
Hawa watu kwa maneno na matendo yao inaonesha kuwa walikuwa wanafaidika na ruzuku ama kuwepo kwao kwenye nafasi za kiuongozi ndani ya CHADEMA.
Leo hii lile kundi lililokuwa linawaambia wenzao kuwa hakuna kuhama chama, lenyewe ndiyo limo kwenye harakati za kutaka kuharibu chama.
Mengi yanasemwa lakini ukweli ni kwamba hilo kundi haliwezi kuiyumbisha CHADEMA na lenyewe Siyo watu maalum sana ndani ya CHADEMA.
Hawa watu kwa maneno na matendo yao inaonesha kuwa walikuwa wanafaidika na ruzuku ama kuwepo kwao kwenye nafasi za kiuongozi ndani ya CHADEMA.