Waliopinga miradi ya Magufuli sasa wanajisikiaje?

Waliopinga miradi ya Magufuli sasa wanajisikiaje?

Mimi nadhani hawakupinga kwa ubaya bali walitaka maelezo yaliyo wazi kwa umma na yakina.
Kwamfano waliunga mkono ujenzi wa SGR kwa maelezo ya mwanzo na gharama iliokuwa imepangwa ya Diesel Locomotive,ya SGR railway line from Dar to Moro.FULL STOP.
Mara Mjomba Magu akataka iwe ya umeme.
Akaja tena na SGR iliyomwendokasi "bullet train"
Hakuachia hapo akaja na extension ya SGR rail line kutoka Moro hadi Dodoma na akidai kuwa tunajenga kwa pesa yetu kitu ambacho hakikuwa sahihi,kulikuwa na mikopo vilevile.
Laiti angekuwa ameweka Financial plan kabla ya kuanza mradi,tungeijenga kwa muda mfupi kuliko ilivyo sasa.
 
Mimi nadhani hawakupinga kwa ubaya bali walitaka maelezo yaliyo wazi kwa umma na yakina.
Kwamfano waliunga mkono ujenzi wa SGR kwa maelezo ya mwanzo na gharama iliokuwa imepangwa ya Diesel Locomotive,ya SGR railway line from Dar to Moro.FULL STOP.
Mara Mjomba Magu akataka iwe ya umeme.
Akaja tena na SGR iliyomwendokasi "bullet train"
Hakuachia hapo akaja na extension ya SGR rail line kutoka Moro hadi Dodoma na akidai kuwa tunajenga kwa pesa yetu kitu ambacho hakikuwa sahihi,kulikuwa na mikopo vilevile.
Laiti angekuwa ameweka Financial plan kabla ya kuanza mradi,tungeijenga kwa muda mfupi kuliko ilivyo sasa.
Angefuata ushauri wako tusingekuwa na train ya SGR sasa hivi.

Magufuli akiongea kinachofuata ni vitendo lakini nyie mkiongea kinachofuata ni maneno
 
Back
Top Bottom