Waliopata barua zimamoto

Waliopata barua zimamoto

calyx

Member
Joined
May 3, 2014
Posts
38
Reaction score
8
Jaman wenye taarifa kuhusu kuitwa kwenye usaili na wizara ya afya na ustawi wa jamii anijuze. Ni miez sasa imepita tangu watoe post zaid ya hamsin. Ikiwemo post za walfare, env.health, clinical oficer Natanguliza shukran
 
wewe nani kakwambia tayari wametoa majina ya watu waliopita au wewe ndo umetumiwa barua peke yako acha kututia shaka bana au nyie ndo watoto wa mapedeshee wakubwa huko ofsin ss tunafatilia kwa karibu nahakuna taarifa yoyote ya majina kutoka kaka wewe umetoa wapi habari hz
 
wewe nani kakwambia tayari wametoa majina ya watu waliopita au wewe ndo umetumiwa barua peke yako acha kututia shaka bana au nyie ndo watoto wa mapedeshee wakubwa huko ofsin ss tunafatilia kwa karibu nahakuna taarifa yoyote ya majina kutoka kaka wewe umetoa wapi habari hz

Acha kupanic huyo ni boss wako, Afisa wa fire a.k.a Assistant Inspector
 
Si mtaripoti Jumatatu jamani! Kama hukuielewa hiyo barua nambie utumiwe another copy maana naona umechanganywa na hivyo vikilo six.
 
Konstebo na masajin bado tupo gizan wenzetu mnaongelea hizo kilo zenu mnatuumiza
 
Jaman wenye taarifa kuhusu kuitwa kwenye usaili na wizara ya afya na ustawi wa jamii anijuze. Ni miez sasa imepita tangu watoe post zaid ya hamsin. Ikiwemo post za walfare, env.health, clinical oficer Natanguliza shukran

Uliomba nafasi gani?
 
hahaha bwana kishindo,mi nasubilia ajira,bado npo mtaani insp. KISHINDO

Usihofu mkuu.
Napenda tu kukujulisha kwamba mimi si inspector, tuko pamoja kitaa kaka mkuu.
Yawezekana mimi ni inspector wa gheto langu tu na si huko kwenye maofisi.
 
Back
Top Bottom