Group za WhatsApp majungu tu na kukorofishana.....na siku hizi hakuna Uhuru (ukiisema serikali umekwisha) ....Siku hizi group hazina mvuto tenaHivi hizo updates haziwezi kupandishwa hapa mpaka watu waende kwenye ma group ya Whatsapp ? Group zenyewe ndio sijui ukimsema Magufuli unabebwa kama kuku
Nawaonea huruma wadogo zangu
vp ardhi kimeeleweka au?WALE WA ARDHI UNIVERSITY NI PM
je unajua njia zingine za kutatua changamoto bila kuilaumu serikaliSalamu kwa Wote;
Kwa wale form six na Diploma holders mliomba au mnaotarajia kuomba nafasi TCU za kusoma bachelor tukutane hapa tupeane updates na maelekezo zaidi.....
Let's Learn and be informed from others.... Tuma namba yako via 0718 585 555 uwekwe kwa group whatsapp na wenzio wan so sub or is nafasi na mkopo..... Tutatue changamoto zetu bila kuilaumu serikali
dah kijana mapema yote hiiTCU wanatoa link mwezi wa ngp mwaka huu?
wє jαmαα huσní kαmα pσѕt ní чα mwαkα jαnα hчσ? αu ww uѕhαfαnчα αpplícαtíσn mwαkα huuAdd me plz, 0714224434