Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Wewe mwenyewe umerogwa.
Mkuu mimi magu kanikoseaMm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.
Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.
Short and clear
Hapo ndiyo huwa naona uchawi hauna faida. Km unaingia nyumba ya jirani, kwann unashindwa kuchukua hela? Nimelala zangu, nimetoka kazini nimechoka. ww usiku kucha unahangaika na mlango.Fanya kazi kwa bidii na maarifa mkuu.Mchawi hawezi iba hela benk
Mazingira yakieleweka vzr, tunamtengeneza kila kitu kiko sawa
pmMm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.
Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.
Short and clear
Mkuu ulipotelea wapi?Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.
Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.
Short and clear
Mm nitakuamini ukiwafanya hivyo wanaotuingiza hasara za kulipa mabilioni kwa mabilioni,pia mafisadi kama Escrow nkMm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.
Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.
Short and clear