Walionikosea nikawashughulikia,sasa wanaanguka kifafa

Walionikosea nikawashughulikia,sasa wanaanguka kifafa

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.

Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.

Short and clear
 
Mimi kuna mtu nimemlipa anachodai (kodi na malipo mengine lukuki)! Ila yeye hapendi kutuletea motisha. Anatwaa fedha zetu na kununua vitu vya starehe. Naona wenzangu wapo kimya. Vipi mkuu, tunaweza kumshughulikia? Hata alipohamia napajua. Wanapaita Magogoni pale Darisalama!
 
Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.

Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.

Short and clear
Teh teh teh
Nataka uniroge niwe tajiri kumshinda Bill Gate
Huo uchawi wa kumroga mtu, ushapitwa na wakati. Sasa hivi watu wanahitaji uchawi wa kupata hela tu.
 
Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.

Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.

Short and clear
Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.

Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.

Short and clear
Mm n mtaalam wa kumkomesha mtu mbaya kwenye jamii, mtata kwenye jamii.

Ukinipa jina lake tu, namshughulikia kesho anaanza kuanguka kifaa.Make sure amekukosea kweli maana ukidanganya tu kifafa kinakurudia wewe au mke/mume wako,sitanii.

Short and clear
 
Mimi kuna mtu nimemlipa anachodai (kodi na malipo mengine lukuki)! Ila yeye hapendi kutuletea motisha. Anatwaa fedha zetu na kununua vitu vya starehe. Naona wenzangu wapo kimya. Vipi mkuu, tunaweza kumshughulikia? Hata alipohamia napajua. Wanapaita Magogoni pale Darisalama!

ndiyo
 
Teh teh teh
Nataka uniroge niwe tajiri kumshinda Bill Gate
Huo uchawi wa kumroga mtu, ushapitwa na wakati. Sasa hivi watu wanahitaji uchawi wa kupata hela tu.

Fanya kazi kwa bidii na maarifa mkuu.Mchawi hawezi iba hela benk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom