Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,299
- 43,501
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, inawashikilia watu wanane wakiwemo waliomvamia mwanamke wa DK Slaa, Josephine.
Josephine alivamiwa na majambazi hao na kumpora vitu mbalimbali jula 13, mwaka huu saa 11.00 jioni eneo la Mwenge jirani na Suma JKT, akiwa na gari aina ya Harrier.
Katika tukio hilo majambazi hao walifyatua risasi kabla ya kuvunja kioo cha gari hilo kwa nyundo, kisha kummwibia mkoba ulikuwa na vitu mbalimbali. kamanda Kova, alisema kufuatia tukio hilo, wamekamata majambazi watano ambao walihusika na uvamizi.
Pia, polisi imeahidi kutoa Sh3 milioni kwa mtu atayefanikisha kukamatwa kwa majambazi
source:Mwananchi julai 30. 2011
Josephine alivamiwa na majambazi hao na kumpora vitu mbalimbali jula 13, mwaka huu saa 11.00 jioni eneo la Mwenge jirani na Suma JKT, akiwa na gari aina ya Harrier.
Katika tukio hilo majambazi hao walifyatua risasi kabla ya kuvunja kioo cha gari hilo kwa nyundo, kisha kummwibia mkoba ulikuwa na vitu mbalimbali. kamanda Kova, alisema kufuatia tukio hilo, wamekamata majambazi watano ambao walihusika na uvamizi.
Pia, polisi imeahidi kutoa Sh3 milioni kwa mtu atayefanikisha kukamatwa kwa majambazi
source:Mwananchi julai 30. 2011