Waliomba Degree kwa Diploma Only!!

Waliomba Degree kwa Diploma Only!!

Vyema sana na je ujlichagua chuo kimoja or vingi kwani mm nilichagua viwili kimoja ni aridhi ambacho sijachaguliwa na kingine ni UDOM ambacho ni bado kutoa majina
nilimuombea dada yangu Ardhi,UD na UDOM...ardhi na UD hajachaguliwa tunasubir UDOM...na yeye katokea DIP ya GEOMATICS
 
Wakuuu naomba kuuuliza ivi kwa mtu alie soma diploma ya education na akapata GPA 4.7 akiomba degree ya environmental health anaweza pata? Wakat advance alisoma CBG nakupat chemistry B,biology C,na geography C,mwaka 2014 msaada wa mawazo wakuu
 
Degree mimi sina mpango nazo bro sasa hivi nataka nikasome dip nyingine niwe na dip tatu zenye proffesion tofauti, hizi degree hazina maana zaidi ya kukuongezea changamoto
huo ni ujinga wa level za PhD ukapimwe mkojo wewe siyo bure.
 
Degree mimi sina mpango nazo bro sasa hivi nataka nikasome dip nyingine niwe na dip tatu zenye proffesion tofauti, hizi degree hazina maana zaidi ya kukuongezea changamoto

Nakushauri ukapate degree then uamue kupata degree nyingine kwenye fani tofauti, Diploma siyo kitu kwenye dunia ya sasa, pata degree sita tofauti mfano pata Master in IT then Doctor of Medicine, MBA etc
 
Wakuuu naomba kuuuliza ivi kwa mtu alie soma diploma ya education na akapata GPA 4.7 akiomba degree ya environmental health anaweza pata? Wakat advance alisoma CBG nakupat chemistry B,biology C,na geography C,mwaka 2014 msaada wa mawazo wakuu
Itabid aombe kwa qualification zake za adavance na sio kwa diploma yake ya education..
 
Itabid aombe kwa qualification zake za adavance na sio kwa diploma yake ya education..
Asante mkuuu ivi kunachuo kingine kinacho toa degree ya environmental health ukiacha muhas naomben mnijuze wakuu
 
Nakushauri ukapate degree then uamue kupata degree nyingine kwenye fani tofauti, Diploma siyo kitu kwenye dunia ya sasa, pata degree sita tofauti mfano pata Master in IT then Doctor of Medicine, MBA etc
Haya bwana na degree zenu mnakosa hata kiwi za kubrash viatu
 
Back
Top Bottom