Samhoodsam
Member
- Sep 24, 2015
- 33
- 6
Naomba kujua kama kuna yoyote aliechaguliwa kwa ngazi ya degree ikiwa yeye aliomba kwa njia ya DIPLOMA kwa vyuo vilivyo toa majina tayari!!! Na je kunaaliye chaguliwa ARIDHI UNIVERSITY?
Yep yep. Nimo. UdsmNaomba kujua kama kuna yoyote aliechaguliwa kwa ngazi ya degree ikiwa yeye aliomba kwa njia ya DIPLOMA kwa vyuo vilivyo toa majina tayari!!!
Vingi, we uliomba vipi? Mzumbe na udom ndio zinasubiriwa now.Chuo gani wametoa majina?
Vyema sana na je ujlichagua chuo kimoja or vingi kwani mm nilichagua viwili kimoja ni aridhi ambacho sijachaguliwa na kingine ni UDOM ambacho ni bado kutoa majinaYep yep. Nimo. Udsm
Ulisoma diploma ya fani gani? na ulikua na GPA ya ngapi?Vyema sana na je ujlichagua chuo kimoja or vingi kwani mm nilichagua viwili kimoja ni aridhi ambacho sijachaguliwa na kingine ni UDOM ambacho ni bado kutoa majina
Nilichagua ud, udom na mzumbe. Usiwaze udom ni tingatinga haiachi mtu mwenye sifa.Vyema sana na je ujlichagua chuo kimoja or vingi kwani mm nilichagua viwili kimoja ni aridhi ambacho sijachaguliwa na kingine ni UDOM ambacho ni bado kutoa majina
Mi nasubiri kuconfirm tu nimechaguliwa UDSM NA SUA,Naomba kujua kama kuna yoyote aliechaguliwa kwa ngazi ya degree ikiwa yeye aliomba kwa njia ya DIPLOMA kwa vyuo vilivyo toa majina tayari!!! Na je kunaaliye chaguliwa ARIDHI UNIVERSITY?
ULIKUW NA GPA YA NGAPMi nasubiri kuconfirm tu nimechaguliwa UDSM NA SUA,
4.27ULIKUW NA GPA YA NGAP
IT GPA 3.3 prog CSISMUlisoma diploma ya fani gani? na ulikua na GPA ya ngapi?
ukachaguliwa kipi sasa[/QUOTE]cin, post: 23787036, member: 444437"]Nilichagua ud, udom na mzumbe. Usiwaze udom ni tingatinga haiachi mtu mwenye sifa.
Vingi, we uliomba vipi? Mzumbe na udom ndio zinasubiriwa now.
Ardhi tayari, udom ndio tunaskilizia.Aridhi pia na UDOM
Mkuu wapo waliochaguliwa UDSMNaomba kujua kama kuna yoyote aliechaguliwa kwa ngazi ya degree ikiwa yeye aliomba kwa njia ya DIPLOMA kwa vyuo vilivyo toa majina tayari!!! Na je kunaaliye chaguliwa ARIDHI UNIVERSITY?