Concoo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 314
- 480
Wakati huu ambapo Shetani anajaribu kuingiza Agenda yake ya technologia ya kuingiziwa chip watu kwebye mapaji ya uso na mikononi (666) ili kufanya manunuzi kwanza anataka auchafue ukristo ambapo amemchafua Baba mkuwa wa imani ya Kinabii Prophet TB Joshua ili ukristo udharauliwe na kutukanwa ikiwa wale wote waliotestify wamelipwa.
Mmoja wa wanawake Sihle Sibisi ambaye aliwahi kumpaka kashfa Pastor Chris Oyakhilome ni mmoja wa waliopata tenda iyo ya kuigiza BBC na pia akiwepo yule mwenye jicho upande ambaye alitakaga kulazimisha kuolewa na TB Joshua.
Link ya Youtube ya Maongezi ya uto dada ya Jay Isarael SNR iyo hapa…
View: https://youtu.be/FYpSo94kdCU?si=FD-mSU-BVC7Rwzhy
Mmoja wa wanawake Sihle Sibisi ambaye aliwahi kumpaka kashfa Pastor Chris Oyakhilome ni mmoja wa waliopata tenda iyo ya kuigiza BBC na pia akiwepo yule mwenye jicho upande ambaye alitakaga kulazimisha kuolewa na TB Joshua.
Link ya Youtube ya Maongezi ya uto dada ya Jay Isarael SNR iyo hapa…
View: https://youtu.be/FYpSo94kdCU?si=FD-mSU-BVC7Rwzhy