Mkali popote
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 633
- 340
Wakuu
Kwanza kabisa napenda kuwapa pole wale wote walikuja arusha leo na wanaoendelea kuja baada ya kukutana na timbwili kati ya wananchi na jeshi la police.
Mpaka sasa bado hali haijatulia baada ya police kuwarindimishia mabomu ya machozi waandamaji wa kabila la wameru waliokuwa wakielekea kituo cha polisi usa river kudai mwenzao aliyeuwawa kutokana na mzozo wa ardhi unaondelea.
Kwa hiyo poleni sana wananchi na abiria wanaotokea mikoa kama KILIMANJARO,TANGA,DAR nk.
Duh hii ndio ARUSHA..
Kwanza kabisa napenda kuwapa pole wale wote walikuja arusha leo na wanaoendelea kuja baada ya kukutana na timbwili kati ya wananchi na jeshi la police.
Mpaka sasa bado hali haijatulia baada ya police kuwarindimishia mabomu ya machozi waandamaji wa kabila la wameru waliokuwa wakielekea kituo cha polisi usa river kudai mwenzao aliyeuwawa kutokana na mzozo wa ardhi unaondelea.
Kwa hiyo poleni sana wananchi na abiria wanaotokea mikoa kama KILIMANJARO,TANGA,DAR nk.
Duh hii ndio ARUSHA..