Waliokufa Ajali ya Meli Zanzibar Ni 1696?

Wale wasauzi kungepatikana watu makini wa kuwahoji tungeujua ukweli ambao ni wasiwasi mkubwa umefichwa. Sitaki kuamini eti walishindwa kufikia meli kwa sababu ya kina kirefu...inawezekana baada ya kureport kwa watawala walioyaona huko chini ndio wakaambiwa wasiendelee ili kukwepesha aibu. Ipo siku kuna mtu/watu watatakiwa kujibu yote haya!
Makubwa
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Halafu tuacheni Uongo wa wazi na kuingiza siasa hata katika mambo mazito kama yale,
Huwezi kusema eti waliopatikana hai ni 600, maiti 200 halafu eti wengine "hajulikani waliko" maana yake nini?
Hili kundi la tatu linatoka wapi hili?
Huku ni ku-minimize tu takwimu za waliofariki!!!
Pale sio msituni eti uweze kusema labda mmepoteana, mtakutana mbele ya safari, pale ni kwenye maji ati!!
Makundi ni mawili tu, walioko hai, kama mtu hayupo kati kundi hili basi ni marehemu, sasa labda katika group hili la marehemu ndio wagawe sub-groups za marehemu waliopatikana na wale waliobaki chini ya bahari.
Serikali iache siasa hata katika mambo yanayogusa jamii kama haya!!!!
Wanaweza leta siasa tena
 
Back
Top Bottom