Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
MakubwaWale wasauzi kungepatikana watu makini wa kuwahoji tungeujua ukweli ambao ni wasiwasi mkubwa umefichwa. Sitaki kuamini eti walishindwa kufikia meli kwa sababu ya kina kirefu...inawezekana baada ya kureport kwa watawala walioyaona huko chini ndio wakaambiwa wasiendelee ili kukwepesha aibu. Ipo siku kuna mtu/watu watatakiwa kujibu yote haya!