Waliokua wanasema UDSM wote wanapata kazi ila UDOM hawapati kazi wako wapi?

asikuambie mtu swala la kupata kazi haijalishi umesoma chuo gani wala kozi gani ni MUNGU apangaye, nyota yako pia inahusika na juhudi binafsi, NIMEONA UDOM GRADUATE wameajiriwa maeneo mengi gvt. Na private sector, huku UDSM wakilia njaa na wakati walikua wanaponda elimu ya UDOM NA KUA WAHITIMU WAKE HAWAAJIRIKI
binafsi nmemaliza udom 2012 nkapata job gvt. 2014 mwishoni huku chuo nlikua wa kawaida tu, nachemka kwenye Seminar, ila kweli kupata kazi ni bahati, leo waliokua wanancheka sijui hata presentation wako mtaani wana haso, MUNGU awasaidie wafanikiwe plus wale wa udsm waliokua wanaponda udom

Kama msomi hautakiwi kukurupuka, nadhani ungefanya utafiti ili hoja yako ikawa kisomi maana wewe ni mhitim wa chuo kikubwa UDOM

Wasomi wanatumia njia mbadala kujenga hoja na sio kama watu wa mtaani jaribu kujitofautisha katika hilo.

Unauhakika upi kwamba graduate wote UDOM wamepataka kazi? Au udsm wengi hawajapata kazi? Lete data hata kuanzia 2012.


Swala la kupata kazi ni swala mtambuka, swala la kuajiliwa wahitimu wa chuo au fani fulani kwa wingi linategemea na uhitajikaji wa soko la ajira kama unataka kuzungumzia in aggregate.

Swala la wewe mmoja kupata kazi tena serekalin halizuii uvumi kwamba watu fulan fulan from chuo fulan hawaajiriki.

Na pia mfano je ungekuwa umepata kazi zile za kwenye kampuni kubwa na nyeti zinazolipa vzuri ungesemaje?

Mshukuru Mungu kwa kupata kazi, fanya kazi usiwe mzigo huko ulipo

Msomi acha majungu na myth za mtaani, jenga hoja kisomi

La sivyo unatafuta majibishano ya ushindani wa kivyuo ambao ni wa kitoto....mambo ya kiferst year...
 
Unaweza ukawa na degree lakini ukalipwa mshahara wa laki tatu sawa na mtu mwenye certificate. Wana Darisalama wa UDSM ni sawa na Wanaisrael, acha kujilinganisha nao kabisa. Uwezo wao wa kufikiri pia uko juu sana u have to accept that...

nimemaliza udom na nipo nondo kumzid hata aliyemaliza havard aliyewadanganya chuo kikuu watu wanaenda kufundishwa ndio kawaingiza chaka kubishana chuo gan ni udom na udsm cwatofautish na wale wanaobishana nan kaanzisha kiduku....pumbav kuwa nondo kwa mtu hakuhusiani kwa namna yytr na chuo alichosomea is about individual capacity..na ndo mana kuna wengine wanasona shule za kata na wanaibuka na div one wengine na wengine wapo feza school wanapata miswak
 
Mada imekaa kitoto sana, bado huja mature mtoa uzi, umeshazjisema wewe umegraduate 2012 aisee weww bado sana,
 
nimemaliza udom na nipo nondo kumzid hata aliyemaliza havard aliyewadanganya chuo kikuu watu wanaenda kufundishwa ndio kawaingiza chaka kubishana chuo gan ni udom na udsm cwatofautish na wale wanaobishana nan kaanzisha kiduku....pumbav kuwa nondo kwa mtu hakuhusiani kwa namna yytr na chuo alichosomea is about individual capacity..na ndo mana kuna wengine wanasona shule za kata na wanaibuka na div one wengine na wengine wapo feza school wanapata miswak

Mkuu wewe umekitendea haki chuo cha udom na sio huyo jamaaa anakiabisha.
 
Graduate anachowaza ni kwenda kukaririshwa kupata gpa kubwa na ajira, so what? Baada ya hapo contiribution yako ni nini kwenye nchi yako, inanisikitisha kama wanaojiita wasomi waliomaliza miaka ya jk ndio hawa dah
 
Asikuambie mtu swala la kupata kazi haijalishi umesoma chuo gani wala kozi gani ni MUNGU apangaye, nyota yako pia inahusika na juhudi binafsi.

NIMEONA UDOM GRADUATE wameajiriwa maeneo mengi gvt. Na private sector, huku UDSM wakilia njaa na wakati walikua wanaponda elimu ya UDOM NA KUA WAHITIMU WAKE HAWAAJIRIKI
binafsi nmemaliza UDOM 2012 nikapata job gvt.

2014 mwishoni huku chuo nlikua wa kawaida tu, nachemka kwenye Seminar, ila kweli kupata kazi ni bahati, leo waliokua wanancheka sijui hata presentation wako mtaani wana haso.

MUNGU awasaidie wafanikiwe plus wale wa udsm waliokua wanaponda UDOM.

Kwenye RED ndiyo nini hasa?.
 
Wakati mi nipo mtaani nikitafuta mtaji nijiajiri wengine wanajisifia kuajiriwa!!!! wazee tuache uoga kwa nini tusijiajiri aaaaagh!!!!!!
 
Nyota ya udom inang'aa mpaka umoja wa mataifa. Hongereni sana vijana wa udom. Mlidhihakiwa km magufuli , mmeshinda km magufuli.
 
Huu Uzi umekaa kimajungu zaidi.....anyway tatizo ni inferiority tu

mtoa mada yuko childish ni kweli lakini waliokua wanaweka thread za kukashifu na kuwakatisha tamaa graduate wa udom walikua wanaonekana sio childish na wako sawa, tuache double standards tuseme ukweli udsm ndo walianzisha huu utoto wa kuponda vyuo vingine. walianza na Mzumbe wakashindwa UDOM ilipokuja wakahamia huko kila siku ikawa hukosi thread ya watu wa udsm wakiponda vyuo vingine especially UDOM. Wameingia mtaani wakakuta hauajiriwi kwa kuangalia umetoka chuo gani, waajiri wanachoangalia ni chuo ulichosoma kiko legally? je candidate ana qualification husika? je candidate mwenyewe ana uwezo gani katika kazi? na mambo kama hayo. Hakuna cha ulisoma udsm, udom, mzumbe wala nani

BOTTOM LINE: UDSM ndo walianzisha hii vita ya kitoto, sasa wana UDOM wameajiriwa kibao na wanashindana vilivyo kwenye soko la ajira so wanasherekea ushindi.
 
mtoa mada yuko childish ni kweli lakini waliokua wanaweka thread za kukashifu na kuwakatisha tamaa graduate wa udom walikua wanaonekana sio childish na wako sawa, tuache double standards tuseme ukweli udsm ndo walianzisha huu utoto wa kuponda vyuo vingine. walianza na Mzumbe wakashindwa UDOM ilipokuja wakahamia huko kila siku ikawa hukosi thread ya watu wa udsm wakiponda vyuo vingine especially UDOM. Wameingia mtaani wakakuta hauajiriwi kwa kuangalia umetoka chuo gani, waajiri wanachoangalia ni chuo ulichosoma kiko legally? je candidate ana qualification husika? je candidate mwenyewe ana uwezo gani katika kazi? na mambo kama hayo. Hakuna cha ulisoma udsm, udom, mzumbe wala nani

BOTTOM LINE: UDSM ndo walianzisha hii vita ya kitoto, sasa wana UDOM wameajiriwa kibao na wanashindana vilivyo kwenye soko la ajira so wanasherekea ushindi.

Mkuu nahisi ni mada izo zilikua kiutani zaidi maybe Kwa sababu hata udsm hao wenyewe Kwa wenyewe wanapondana wana grades .......ishu kubwa hapo ni kujikubali tu ukishaanza kujiona inferior shida inaanzia hapo.
FACTS: udsm is still the best university compared to Udom
 
Mkuu nahisi ni mada izo zilikua kiutani zaidi maybe Kwa sababu hata udsm hao wenyewe Kwa wenyewe wanapondana wana grades .......ishu kubwa hapo ni kujikubali tu ukishaanza kujiona inferior shida inaanzia hapo.
FACTS: udsm is still the best university compared to Udom
however it is, kwenye soko la ajira kumaliza UDSM,UDOM au kwingineko hai-count, kinachoangaliwa ni qualification na uwezo wa candidate, Graduates wa udom wanafanya vizuri sana kwenye soko.
REMEMBER: jina la chuo halitakaa likubebe kwenye soko la ajira.
 
Naona ubishi tuuuuu but no evidence. Wanaosema udom wanaajirika zaidi kuliko udsm basi leteni evidence through statistics ili tujue kweli wanaajirika kuliko udsm ila sasa kama mtu mmoja au kumi wa udom wameajiriwa ndo mseme udom ni zaidi ya udsm? Unajua udsm wameajiriwa wangapi tangu udom ianzishwe? Hakuna evidence hapa ila cha kuwashauri wadogo zangu vyeti tu havitakubeba katika kutafuta ajira bali competence na uwezo wako hasa kupitia interview ndo watakupima vizuri wala siyo chuo ulichosoma
 
Asikuambie mtu swala la kupata kazi haijalishi umesoma chuo gani wala kozi gani ni MUNGU apangaye, nyota yako pia inahusika na juhudi binafsi.

NIMEONA UDOM GRADUATE wameajiriwa maeneo mengi gvt. Na private sector, huku UDSM wakilia njaa na wakati walikua wanaponda elimu ya UDOM NA KUA WAHITIMU WAKE HAWAAJIRIKI
binafsi nmemaliza UDOM 2012 nikapata job gvt.

2014 mwishoni huku chuo nlikua wa kawaida tu, nachemka kwenye Seminar, ila kweli kupata kazi ni bahati, leo waliokua wanancheka sijui hata presentation wako mtaani wana haso.

MUNGU awasaidie wafanikiwe plus wale wa udsm waliokua wanaponda UDOM.
Intention hasa ni nini labda?
Shukuru mungu umepata kibarua waache na wenzio watafute vibarua kijana......
DUNIA MAPITO
 
Back
Top Bottom