kimmswati
Member
- Sep 2, 2016
- 77
- 48
WanaJamiiForums kwa wale waliokosa vyuo sasa inakuaje maaana vimebaki vyuo vya private vingi na vyuo vipi ni vizuri ku apply Kuna ndugu yangu aliomba law udom udsm na mzumbe kakosa sasa vyuo gani vizuri ambayo vinatoa kitivo cha sheria kiufanisi ili ajaze.
Msaaada wenu Please wadau.
Msaaada wenu Please wadau.