Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
JPM tuliambiwa mitano Tena, leo hii wakongwe wanasema mitano inatosha. Wamefika point Hadi kwenye gazeti wakaandika mitano inatosha, je Kama wanachama wanaamini mitano inatosha wananchi watalazimishwa na dola kutoa mitano tena au tume itasiadia wananchi kutekeleza kauli mbiu ya mitano inatosha?