Kama wewe ni mwanachama wa CCM, mnashauriwa kuunda kikundi cha watu ishirini(20), mnachoma moto card za CCM mnapiga picha halafu hizo picha mnazipost kwenye group kubwa la safari ya matumaini na group la ukawa, hii ni kuonyesha uzalendo na kukiondoa chama nguli kilichoendesha nchi kwa mabavu,dhuluma kwa kipindi cha zaidi ya miaka hamsini(50).Sisi wanachama wa chama cha mapinduzi tumedharauliwa na kudhalilishwa sana na uongozi wa chama kwa kitendo cha kuondolewa jina Lowasa mtia nia tuliyekua tunamuunga mkono kwa wingi.Hakuna demokrasia yoyote uliyotumika kumpata mgombea wa uraisi kupitia chama.NAWASILISHA WANA JUKWAA NA WAPENDA UZALENDO NA DEMOKRASIA.