Waliofuatana na Lowassa CHADEMA


Tutawaletea madume mengine YA mbegu.mnahitaji mangapi vile?
 

Ahahahaaa Greatthinker huyoo....ahahaa
 
Mi nilianza nikawaambia marafiki lowassa atajua mwenyewe mi nimetangulia,,fortunatly na ye ameingia,,,,hata jiwe likiwekwa ukawa napigia kura.
 
Mi nilianza nikawaambia marafiki lowassa atajua mwenyewe mi nimetangulia,,fortunatly na ye ameingia,,,,hata jiwe likiwekwa ukawa napigia kura.
 
Yatakuwa mafuriko wakuu, tuvute subira tu......CCM hawataamini kitakachotokea.

Wasubiri kimbunga cha kuwamalizia na mvua kubwa yenye mafuriko yatakayo safisha mizoga hadi baharini
 
Hivi nyinyi watu wa zzk mbona mnapenda sana kudhihaki viongozi wenu wa nchi hii?
Viongozi wetu! acha zako viongozi wa fuata upepo wasio jitambua hapo sawa uniambie DJ mm awekiongozi wangu du!
 
Sio rahisi kiivyo udhaniavyo kikwete kumkabidhi nchi lowassa na akina Mbowe na Ngo yao Chadema!
 
Hata UKAWA wakimpitisha CHENGE kuwa mgombania urais, tuko nyuma yao ilimradi atuhakikishie CCM wanang'oka October....

Peoplesssssssssssssssssss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…