Ni kutajanatajana tu basi! Ikifika uchaguzi tunachagua haohao tunaowataja. Kura zinauzwa na kununuliwa na hela hizohizo za madawa.
Akina Chenge sasa ni Mtemi Chenge kwa sababu ya pesa aliyonayo. Ni Mwenyekiti wa Kamati nzito ya Bajeti ya Bunge. Come 2015, Lowasa Rais, Chenge Waziri Mwandamizi kabisa kama sio SPIKA!
Akina Chenge sasa ni Mtemi Chenge kwa sababu ya pesa aliyonayo. Ni Mwenyekiti wa Kamati nzito ya Bajeti ya Bunge. Come 2015, Lowasa Rais, Chenge Waziri Mwandamizi kabisa kama sio SPIKA!