Waliofanikiwa katika kilimo na ufugaji share uzoefu wako hapa

Faida ipo shida ni kutokuwa na consistence katika kufanya jambo , leo unalima hiki kesho kile , keshokutwa kile.

Kwa uzoefu wangu niliwahi kulima mahindi ya pop msimu wa kwanza nikawa nimechelewa yakawa hayako katika standard nzuri nikayaunza wenyewe kwa kuchoma bis nikapiga hela nzuri tu ila msimu uliofuata nikayapanda kwa wakati na kuzingatia abc zake nikatengeneza pesa ambayo sikuitegemea kabisa tatizo likawa ni kwamba nililima kiasi kidogo sana kuliko msimu wa kwanza yaani nikabaki naombwa mzigo najificha

Ipo hivi pia kilimo bila kuwa na stoo kitakutesa na utaona hakilipi ila kinalipa vizuri tu ni suala la kuwa na akili nzuri tu ya kufanya jambo sahihi kwa wakati sahihi.
Habari mkuu napata wapi mbegu ya mahindi ya popcorn
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Back
Top Bottom