Waliofahamika kupitia migongo ya mastaa..

Ukipata mchumi wa ukweli akupigie mahesabu ya lost productivity, lost fuel, lost time etc na kukupa impact kwenye pato la taifa hapo unaqeza kulia.

Hao wahusika wa huo ujenzi wapuuzi sana. Barabara yenyewe ukiiangalia wala haina challenges zozote zile. Yes, kuna sehemu kuna daraja lakini lile si daraja lakuchukua miaka kulijenga.

Barabara yenyewe ni straight-shot kutoka maeneo ya Mwenge mpaka Tegeta. Haina cha exit ramps wala diverging diamond interchange ambazo walau mtu unaweza kuelewa kama ujenzi wake ni wa polepole.

Ni kero tupu kwa watu wanaoishi pande hizo hususan siku za kazi.
 
Kuna kimchepuko kama unatoka Tegeta, badala ya kupitia Tangi bovu, unakunja kona barabara ya kwenda Africana unaenda upande wa baharini, mpaka mbele kwenye roundabout, unakuja kuunganisha mpaka unatokea Old Bagamoyo Road bila ya kupitia bonde la Tangi Bovu. Barabara hii imekuwa popular sana kuepuka foleni.

Oh yeah, I know that route like the back of my hand.

Lakini kwa vile imekuwa popular, hiyo njia nayo wala haina nafuu kihivyo. Hapo kwenye roundabout watu, kama ilivyo ada ya waendeshaji wa Dar, wana flout tu sheria za barabarani.
 
Kuna kimchepuko kama unatoka Tegeta, badala ya kupitia Tangi bovu, unakunja kona barabara ya kwenda Africana unaenda upande wa baharini, mpaka mbele kwenye roundabout, unakuja kuunganisha mpaka unatokea Old Bagamoyo Road bila ya kupitia bonde la Tangi Bovu. Barabara hii imekuwa popular sana kuepuka foleni.

Yaaah tupo pamoja Mkuu .... Na hiyo ndio njia maarufu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa ....!!! Nilifikiri mnazungumzia hii ya kupita mbezi chini halafu unakata kwa Mwamunyange bila ya kupitia Africana...!!!!!!!!!!
 
Yaaah tupo pamoja Mkuu .... Na hiyo ndio njia maarufu kwa zaidi ya miaka mitatu sasa ....!!! Nilifikiri mnazungumzia hii ya kupita mbezi chini halafu unakata kwa Mwamunyange bila ya kupitia Africana...!!!!!!!!!!

Duh, ya chini nayo imepata ya chini yake pia, nafikiri nishapita hiyo mara.moja tukitokea Tegeta.

Maana siku nyingine foleni mpaka kile kipande cha kutoka Tegeta kuelekea njiapanda ya Afrikana, hususan rush hour asubuhi.
 
apart from those stories, the fact is, wema sepetu played a major role in maintaining kajalas name to stay alive.

Me nakataaa,Kajala amejulikana long time sana,sema hakuwa mtu wa scandals,Kajala mpaka Ramsey Noah anamfahamu,muke ya Pfunk...ukiwa siyo mfatiliaji ndo utaona ka' kabebwa na Wema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom