Waliochaguliwa St.Joseph University Of Information Technology

Waliochaguliwa St.Joseph University Of Information Technology

Last sentinel

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
267
Reaction score
108
Za mchana wanajamii forums,nilikuwa naulizia kama kuna mtu amechaguluwa hiki chuo,kwa sababu nimepigiwa simu leo wakasema nimechaguliwa nisubilie joining instruction nitatumiwa kwenye e-mail
 
Kama umepigiwa cm ni sawa kwa sababu wapo wengune kutoka vyuo tofauti wamepewa taarifa kama hiyo.jiandae kwenda chuo..hongera
 
Asante mkuu wamesema nisubilie joining instruction watanitumia kwenye e-mail,nilihofia nikadhan ni mtu ananichezea
 
Hapana ni kweli ila kama upo karibu nenda chuoni utapewa join.instruction
 
Nenda kasome kwa bidii upate gpa ya 3.5 ili uweze kusoma degree
 
usije ukaambiwa ulipe pesa yoyote m pesa tigo n.k kuna matapeli subir joining instruction
 
Za mchana wanajamii forums,nilikuwa naulizia kama kuna mtu amechaguluwa hiki chuo,kwa sababu nimepigiwa simu leo wakasema nimechaguliwa nisubilie joining instruction nitatumiwa kwenye e-mail
Nacte nao wametoa?? Embu angalia akaunt yako unijize na mimi
 
Back
Top Bottom