Waliochaguliwa IFM tukutane hapa

Waliochaguliwa IFM tukutane hapa

Ruiz

Senior Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
171
Reaction score
70
Ndugu wana JF tuliochaguliwa IFM tukutane hapa tupeane uzoefu wa chuoni pia mliotutangulia karibuni mtupe changamoto
 
naombeni kuuliza swali kwenu mliochaguliwa IFM,

ndivyo hivyo hivyo selection zimekuja kama mlivyoona ile jumapili kwenye link ya TCU iliyovuja, au kuna mabadiliko?
 
jiandaeni kupaki basi aka lower second / pass class
hahaha, umenifurahisha sana mkuu, mimi nmemaliza last year kwa kupaki basi mwanzo mwisho...wakiona ni pakula bata waje na wenyewe wale...wape somo madogo
 
Msuli bila bata ni sawa na kula chakula bila kunawa mikono **sitaki ujinga mimi**
 
IFM wamebadili ratiba Ya registeration
 
kama umekuja kusoma Ifm sipagumu kihivyo, ila wengiwao chuo kinawashinda kwa ulimbukeni wa starehe na Anasa. Chuo kimezungukwa na club zakutosha, ukitoka nje ya geti la chuo unapokelewa na kfc, samaki samaki casino.Ushauri wangu ukijiwekea ratiba yako vizuri ya masomo na starehe hakuna kinachoshindikana IFM
 
Back
Top Bottom