johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,151
Ukiangalia ile Orodha ya Wassisi 6 wa Chadema wote walikuwa wameshiba fedha ndio Sababu hawakuwa na papara za kugombea urais
Uimara wao kifalsafa ndio unaifanya Chadema idumu na Nccr Mageuzi isambaratike japo walitumia Katiba inayofanana Sana
Kwa sasa Watu wachache Sana pale Chadema Wana ile jeuri ya Akina Mtei na Tuntemeke Sanga ambao ni Lisu, Heche, Mnyika, Benson na Mchungaji Msigwa japo Mdude naye ana Ujasiri wa kipekee
Nawatakia Sabato Njema!
Uimara wao kifalsafa ndio unaifanya Chadema idumu na Nccr Mageuzi isambaratike japo walitumia Katiba inayofanana Sana
Kwa sasa Watu wachache Sana pale Chadema Wana ile jeuri ya Akina Mtei na Tuntemeke Sanga ambao ni Lisu, Heche, Mnyika, Benson na Mchungaji Msigwa japo Mdude naye ana Ujasiri wa kipekee
Nawatakia Sabato Njema!