Walioaminishwa kwamba mahakama ya mafisadi ni ya kumfunga Lowassa wamekata tamaa

Mwabhleja

JF-Expert Member
Jan 27, 2016
1,351
2,058
Ukiitazama video hii na kukumbuka namna kampeni zilivyokuwa zikiendeshwa utapata jibu moja muhimu kwamba kuna wapiga kura wengi waliaminishwa kwamba hakuna fisadi mkuu Tanzania zaidi ya Mhe. Edward Lowassa hivyo akitokomezwa huyo basi nchi itatakata.



Lakini sasa hivi wananchi wengi wameanza kuona nuru mpya tofauti na namna walivyoaminishwa. Hakuna tena dalili za aliyetajwa kuwa fisadi mkuu kushitakiwa na kufungwa. Labda tuendelee kusubiri pengine kuna kikolombwezo kutokana na ule wimbo wetu wa tumejipanga.

Au Mhe. Lowassa siyo fisadi?
 
Ukiitazama video hii na kukumbuka namna kampeni zilivyokuwa zikiendeshwa utapata jibu moja muhimu kwamba kuna wapiga kura wengi waliaminishwa kwamba hakuna fisadi mkuu Tanzania zaidi ya Mhe. Edward Lowassa hivyo akitokomezwa huyo basi nchi itatakata.



Lakini sasa hivi wananchi wengi wameanza kuona nuru mpya tofauti na namna walivyoaminishwa. Hakuna tena dalili za aliyetajwa kuwa fisadi mkuu kushitakiwa na kufungwa. Labda tuendelee kusubiri pengine kuna kikolombwezo kutokana na ule wimbo wetu wa tumejipanga.

Au Mhe. Lowassa siyo fisadi?

SIJAKUELEWA
 
Inajulikana jamaa yako ni mwepesi alipita kwa kusaidiwa Na upepo tu,

Na kati ya jambo ambalo Hawaliwezi kulifuta ni kuwadanganya watanzania kwamba Mtuhumiwa ni mmoja tu !

Angalia sasa
Bu ngeni watuhumiwa wapo Na wamechaguliwa Na wabunge wa ccm!

Halafu unasema unapambana Na ufisadi ?
 
Shahidi lizabon , wazir wa sheria Mwakyembe , spika Tulia , Nitashangaa sana Lowassa asipofungwa !
Sasa mkuu, utafanyaje kama hatakuwa mmoja kati ya watakaokamatwa na kushitakiwa katika mahakama ya mafisadi?
Hauna namba ya katibu wetu mwenezi maana alikuwa mmoja kati wa waliotuaminisha kwamba Mzee wa nywele nyeupe ni fisadi mno na anastahili kuogopwa na kila Mtanzania mwema. Atatumbuliwa lini huyo aliyaeitwa fisadi na kama walizusha basi wamuombe radhi
 
Ukiitazama video hii na kukumbuka namna kampeni zilivyokuwa zikiendeshwa utapata jibu moja muhimu kwamba kuna wapiga kura wengi waliaminishwa kwamba hakuna fisadi mkuu Tanzania zaidi ya Mhe. Edward Lowassa hivyo akitokomezwa huyo basi nchi itatakata.



Lakini sasa hivi wananchi wengi wameanza kuona nuru mpya tofauti na namna walivyoaminishwa. Hakuna tena dalili za aliyetajwa kuwa fisadi mkuu kushitakiwa na kufungwa. Labda tuendelee kusubiri pengine kuna kikolombwezo kutokana na ule wimbo wetu wa tumejipanga.

Au Mhe. Lowassa siyo fisadi?


fisadi yeyote yule hata kama sio lowasa lazima afungwe, msiaze kuwatetea tena. najua lowasa mtamtetea sana koz kashakimbilia kwenu
 
Mbona watu wengi wanatetemeka pindi wakiliskia jina la Mh EDWARD NGOYAI LOWASA. kwan shida ni mini haswa??
 
Huyo Lowassa hata mkimpamba namna gani hawi Rais period
Umetoka nje ya mada, tumpambe kwani amekuwa Bibi Harusi? Mimi nataka atumbuliwe maana ni mwizi na fisadi namba moja Tanzania hii. Asipotumbuliwa maana yake ni kwamba ni mtu safi aliyengukia katika mikono michafu ya siasa za Tanganyika
 
Mbona watu wengi wanatetemeka pindi wakiliskia jina la Mh EDWARD NGOYAI LOWASA. kwan shida ni mini haswa??
Yaani sielewi what special Na huyu Ngoyai, akitajwa watu wataibuka kutokea kusikojulikana Na matamko.!
 
Yaani sielewi what special Na huyu Ngoyai, akitajwa watu wataibuka kutokea kusikojulikana Na matamko.!
Binadamu wa Tanganyika wanashangazwa kuona waendesha boda boda wanakamatwa kila mara lakini aliyetajwa kuwa fisadi namba moja hakamatwi, ndo kwanza anatembelea katika vituo vya watoto yatima na kutoa misaada hususani msimu huu wa ramadhani.
 
Wee! Wanamuogopa Lowasa haoo! Yule mzee wamuache apumzike (au aendelee na siasa zake za kistaarabu) kama walivyoachwa marais wastaafu. Lowasa akifungwa amani ya nchi itavurugika na litakuwa kosa kubwa sana la serikali hii.
 
Wee! Wanamuogopa Lowasa haoo! Yule mzee wamuache apumzike (au aendelee na siasa zake za kistaarabu) kama walivyoachwa marais wastaafu. Lowasa akifungwa amani ya nchi itavurugika na litakuwa kosa kubwa sana la serikali hii.
Kumbe nawe umeona dalili zote, kuna jamaa jana wamelaani sana kuamini kila neno, mmoja alijihoji eti " mimi nilijua akiapishwa tu anaanza na Lowassa na kusafisha ufisadi nchi nzima maana yeye ndiye kinara lakini sasa wameanza kututisha kutufunga miaka mitatu jela hata ukinunua kitu na kusahau risiti"
Nikamwambia kwani hukuelewa Mzee Kikwete alipokwambia habari za kuambiwa changanya na zako?
 
Sasa mkuu, utafanyaje kama hatakuwa mmoja kati ya watakaokamatwa na kushitakiwa katika mahakama ya mafisadi?
Hauna namba ya katibu wetu mwenezi maana alikuwa mmoja kati wa waliotuaminisha kwamba Mzee wa nywele nyeupe ni fisadi mno na anastahili kuogopwa na kila Mtanzania mwema. Atatumbuliwa lini huyo aliyaeitwa fisadi na kama walizusha basi wamuombe radhi
Bila kuwasahau, Lissu, Mnyika, Mbowe, Dr. Slaa, Kubenea, Msigwa na Lema nao walituaminisha hvo, je? wao wanamsimamo gani kuhusu huyu Mzee kufika kwenye Mahakama hiyo, wanaafiki au wanapinga, na je? Mnyika na Kubenea sasa watakuwa tayari kutoa ashahidi ambao walituahidi kuwa wanao!
 
Back
Top Bottom