Walinzi wa Area D (Dodoma) walikuwa wapi wakati Lissu akishambuliwa?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.

..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hao hulindwa na askari wenye silaha.

..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.

..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.

..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi.

..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.

..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.

..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Je, walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu, au wakati wote? Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa?

Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi, Nyani Ngabu
 
..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.

..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hayo hulindwa na askari wenye silaha.

..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.

..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.

..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi

..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.

..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.

..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Na walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu au wakati wote. Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa.

Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi
watu wasiojulikana ndio wale watu kutoke Rwanda waliokuja na kwenda dodoma na Makona?
 
..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.

..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hayo hulindwa na askari wenye silaha.

..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.

..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.

..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi

..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.

..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.

..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Na walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu au wakati wote. Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa.

Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi
Hii ni hoja ninayoikubali kuwa inahitaji majibu.
Lakini kwa kuwa tumeambiwa suala hili tuliachie mamlaka husika, ni vema tukawaachia wenyewe watupe majibu yao halafu pale kwenye mashaka tutahoji tena maana katazo litakuwa limefunguka
 
..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.

..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hayo hulindwa na askari wenye silaha.

..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.

..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.

..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi

..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.

..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.

..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Na walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu au wakati wote. Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa.

Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi
Dereva wa Lissu yuko wapi kwanza?
 
..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.

..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hayo hulindwa na askari wenye silaha.

..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.

..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.

..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi

..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.

..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.

..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Na walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu au wakati wote. Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa.

Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi
Hao walinzi lindo lao lilikua ni kwa Naibu Spiika,Kaleman au ni kumlinda Lissu?
 
Sie tunamtaka dereva....upelelezi umeshindwa kuendelea...kuna vitu unashindwa hata kupata majibu.

Juzi niliposikia tukio la majambazi, aliyetoa taarifa akatajwa hadharani, aina na namba ya bunduki iliyotumika, wahalifu wawili wamefariki wakipelekwa hospitali....mmoja ametoroka. Wakahusishwa na tukio la kupigwa risasi afisa mstaaf wa jeshi...nikajua tu hollywood wanaelekea kumaliza picha lao jipya.
 
Hao walinzi lindo lao lilikua ni kwa Naibu Spiika,Kaleman au ni kumlinda Lissu?

..ni swali zuri.

..kunahitajika majibu ya aina ya ulinzi uliokuwepo.

..Je ulinzi ulikuwepo kwa Dr.Tulia na Dr.Kalemani tu? Au walinzi walikuwepo lango kuu tu? Au sehemu zote mbili.

..Na pia kama walinzi hao wameelekezwa kuwalinda viongozi tu, au viongozi, familia, majirani, na eneo zima wanapoishi viongozi?

..Kwa mfano, walinzi wa Naibu Spika Dr.Tulia wakiona Waziri Dr.Kalemani anashambuliwa wanapaswa kumtetea au kuendelea tu na utaratibu mwingine?

Cc Elitwege
 
..ni swali zuri.

..kunahitajika majibu ya aina ya ulinzi uliokuwepo.

..Je ulinzi ulikuwepo kwa Dr.Tulia na Dr.Kalemani tu? Au walinzi walikuwepo lango kuu tu? Au sehemu zote mbili.

..Na pia kama walinzi hao wameelekezwa kuwalinda viongozi tu, au viongozi, familia, majirani, na eneo zima wanapoishi viongozi?

..Kwa mfano, walinzi wa Naibu Spika Dr.Tulia wakiona Waziri Dr.Kalemani anashambuliwa wanapaswa kumtetea au kuendelea tu na utaratibu mwingine?
Wako responsible katika DUTY POST zao na si vinginevyo
 
Hii ni hoja ninayoikubali kuwa inahitaji majibu.
Lakini kwa kuwa tumeambiwa suala hili tuliachie mamlaka husika, ni vema tukawaachia wenyewe watupe majibu yao halafu pale kwenye mashaka tutahoji tena maana katazo litakuwa limefunguka

Leo ni zaidi ya mwezi toka hili shambulizi limetokea na hakuna majibu ya hao walinzi. Hujiongezi tu?
 
Hii ni hoja ninayoikubali kuwa inahitaji majibu.
Lakini kwa kuwa tumeambiwa suala hili tuliachie mamlaka husika, ni vema tukawaachia wenyewe watupe majibu yao halafu pale kwenye mashaka tutahoji tena maana katazo litakuwa limefunguka

..nadhani majibu ya maswali haya yamechelewa sana.

..sidhani kama yanahitaji zaidi ya mwezi mmoja kuyapata.

..at most 48 hours baada ya tukio umma unapaswa kupewa taarifa hizi.

..kukumbusha tu, tukio la kushambuliwa Major General Mritaba, jeshi la Polisi hawakuchelewa kutoa taarifa kuhusu walinzi waliokuwepo wakati wa tukio na nini waliwajibika namna gani.
 
.
..kukumbusha tu, tukio la kushambuliwa Major General Mritaba, jeshi la Polisi hawakuchelewa kutoa taarifa kuhusu walinzi waliokuwepo wakati wa tukio na nini waliwajibika namna gani.
Hili la mritaba lilikuwa rahisi kwa kuwa mlinzi wake alitoa ushirikiano polisi. Kwa Lisu linakuwa gumu kwa kuwa dreva wake ambaye pia alikuwa mlinzi wake kagoma kutoa ushirikiano kwa polisi. Mbowe alisema wazi kuwa huyo alikuwa dreva na mlinzi wa Lisu. Mwambieni huyo dreva aende atoe ushirikiano polisi kama huyo wa generali
 
Back
Top Bottom