Viongozi wa chama cha walimu ni wanafiki wakubwa.Hamna uwezo kufanya maamuzi magumu.serikali hii legelege inayomlipa mbunge kwa siku sawa na mshahara wa mwalimu graduate wa mwezi1.kumbukeni kuwa hata kama hayo mabilioni yatalipwa bado ni kazi bure.mfano hapa mwanza jiji walimu zaidi ya 1,000 waliopanda madaraja mwaka mmoja na nusu uliopita bado hawajarekebishiwa mishahara.Hii ina maana kuwa ktk zoezi hili hawatalipwa malimbikizo yao kwa kua mishahara yao haijarekebishwa.Hii ni kwamba leo selikali km watalipa bil 40,watakuta kesho wanadaiwa bil100. Ni ajabu kwa raisi wa nchi kulidanganya Taifa kuwa kuwa suala la malimbikizo kwa watumishi wa umma halitatokea tena.kwa upungufu wa mishahara walimu wanalazimika kukopa kny mabenki si kw lengo la kujenga bali kufidia mapungufu ya mshahara.kibaya zaidi ili upate mkopo ni lazima uhonge 50,000 tabia hii iko ktk tawi la Nmb kenyata usipotoa utazungushwa zaidi ya miezi 2 kwani kwa hp Mza unaruhusiwa kukopa nmb tu