Walimu wanahitajika haraka sana

Walimu wanahitajika haraka sana

Togolo

Member
Joined
Aug 15, 2022
Posts
11
Reaction score
11
Shule ya sekondari Uruwira iliyopo Mpanda Katavi inatafuta walimu wa masomo yafuatayo

PHYSICS & MATHEMATICS
GEOGRAPHY & ENGLISH
GEOGRAPHY & KISWAHILI

NB Ni shule ya serikari,
Free Accomodation & breakfast

Kwa mawasiliano Piga simu 0754576401
 
Yaani wangekuwa wanaweka na wao wanatoa ama Wana Nini ili mtu asiwe anahangaika hata kupiga simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom