Walimu waliokoe Taifa letu

KURUNZI-1

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
19
Reaction score
0
Ualimu ni kada moja ambayo ikitumiwa vizuri itaweza ama kulinusuru taifa au kuliangamiza kabisa. Watu wa kada hii(walimu) wapo karibu sn na jamii kubwa ya wananch ambapo kwa kiasi kikubwa huwa wanaaminiwa kwao. Rai yangu kwa walimu ni kuwa wafanye kaz yao ipasavyo ikiwa ni pamoja na kuufunua ukweli juu ya kiongoz au mtu yeyote asiyekuwa na mapenz mema na Taifa letu. Tetesi za kwamba wanapuuzwa na kuonewa waziweke kando ili tuirudishie nchi yetu hadh yake. Chonde chonde walimu wajengeeni raia maadili mema, Tanzania ni ya kwetu wote.
 
Hata wew huna nia nzuri na walimu, pigana wapewe haki yao kwanza ndio useme hayo
 
Wewe mwenyewe Profession yako ni ipi?
 

Nenda ukafundishe wewe,acha ngonjera zako wewe.!UMETUMWA...?
 
Wewe ni mzima kweli? yaan walimu wanadai haki serikali inaenda mahakaman badala ya kukaa meza moja,Ok tutakuna 2015.
 

Ndugu unachosema ni kweli kabisa walimu wakiamua kujenga Taifa lililo imara wanaweza kabisa na wakiamua kuliangamiza wanaweza pasipo shaka lolote tatizo Serikali inajifanya kutojua hilo wakati inajua kinacho endele baada ya miaka 10 ijayo Tanzania litakuwa taifa la ma mbumbumbu watawala wetu hawajali et kwa sababu tu watoto wao wanasoma nje au shule za st.:: hebu ishauri serikali ibadilike iokoe taifa linalo angamia
 
Kweli ww ni kurunzi....nani awezaye kufanya kazi na njaa?? Serikal yako ya ccm iliyoku2ma si ndo inatupeleka mahakaman baadala ya kuboresha maisha yetu. 2nafanya kazi kwenye mazngira magum,umeme wala maji hakuna, makaz duni,mlo duni, vitendea kaz duni, mishahara ambayo ndo inge2fariji kw masikitko makubwa ndo kiduchu kupta maelezo. THEN NDO UNAKUJA KUTUBEZA ETI TUJENGE JAMII....Muta edit matokeo hadi mukome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…