GoPPiii.
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,787
- 3,050
Maisha ya shule yana misukosiko na changamoto sana aisee, tukio la leo limenifanya nikumbuke mbali sana.
Leo katika mishe mishe nimekutana na mmoja wa waalimu wa shule ya msingi niliosoma mkoa fulani.
Nilivyomuona yale mazingira sikuamini kama ni yeye ikabidi nimsalimie na kumkumbusha mimi ni fulani mwanafunzi wako shule fulani, akakumbuka tukasaimiana na ,story kidogo kisha tukaachana.
Ikabidi niulize kwa wenyeji huyu alikuwa mwalimu imekuwaje, wakasema hawaelewi. In short hali yake sio nzuri, ila wenyeji walichosema ni ana maisha ya kudonoa donoa.
Sijui alipatwa na nini maana maisha hayana ramani hujui kesho yako itakuwaje.
Huyu mwalimu bana alikuwa ana kila sifa ya kukufanya uchukie shule.
MBABE /MNOKO iwe zamu yake isiwe yake, ni wale omba usiingie kwenye mikono yake, ukipelekwa ofisini yupo aisee ilikuwa ni balaa.
Alikuwa ni wale waalimu hana mjadala, asikilizi hata ujitete vipi. Uwe umekosea au hujakosea. Binafsi niliangukia mikono yake mara tatu hivi (hapa niseme tu sikuwa nakosa na kilichotokea nakikukumbuka).
Waalimu kama mpo humu jueni maisha hayana formula, hayana ramani, kuwawekea mazingira magumu wanafunzi pasipo sababu sio vizuri.
Tendeni haki, fundisheni kwa upendo, penye mapungufu rekebisheni kwa upendo pia.
Asante.
Leo katika mishe mishe nimekutana na mmoja wa waalimu wa shule ya msingi niliosoma mkoa fulani.
Nilivyomuona yale mazingira sikuamini kama ni yeye ikabidi nimsalimie na kumkumbusha mimi ni fulani mwanafunzi wako shule fulani, akakumbuka tukasaimiana na ,story kidogo kisha tukaachana.
Ikabidi niulize kwa wenyeji huyu alikuwa mwalimu imekuwaje, wakasema hawaelewi. In short hali yake sio nzuri, ila wenyeji walichosema ni ana maisha ya kudonoa donoa.
Sijui alipatwa na nini maana maisha hayana ramani hujui kesho yako itakuwaje.
Huyu mwalimu bana alikuwa ana kila sifa ya kukufanya uchukie shule.
MBABE /MNOKO iwe zamu yake isiwe yake, ni wale omba usiingie kwenye mikono yake, ukipelekwa ofisini yupo aisee ilikuwa ni balaa.
Alikuwa ni wale waalimu hana mjadala, asikilizi hata ujitete vipi. Uwe umekosea au hujakosea. Binafsi niliangukia mikono yake mara tatu hivi (hapa niseme tu sikuwa nakosa na kilichotokea nakikukumbuka).
Waalimu kama mpo humu jueni maisha hayana formula, hayana ramani, kuwawekea mazingira magumu wanafunzi pasipo sababu sio vizuri.
Tendeni haki, fundisheni kwa upendo, penye mapungufu rekebisheni kwa upendo pia.
Asante.