Walimu wa Sekondari kusimamia mitihani ya Shule za msingi ni udhalilishaji wa taaluma nchini

Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari!!!Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!!!
Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne???Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima?Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!!!!
Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu???
Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA!!!
Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja!!!!
Una hoja nzuri ila umeshindwa iweka vizuri.

Kwani mtu anayeendesha yale ma semis hawezi endesha vits!??

Zote ni taaluma, shida hapa kuna siasa ya kipumbavu tu. Eti kuzuia cheating...!??
 
Halafu nasikia primary nao wanasimamia secondary..lakini nyie si ndio mlikua mnawacheka wenzenu walioenda primary? Mbona huko primary kuna walimu wengi wana degree zao..walimu mna majungu sana!
 
Acha wadhalilishwe tu hata hawajitambui maana hao ndio washiriki wa hujuma Kwa wananchi wakishirikiana na CCM kwenye uchafuzi unaoitwa uchaguzi Kwa kufanya mbinu haramu za kukwiba kura wakishirikiana na Policcm!

Walimu mtakapotambua adui yenu ni huyo mnaeshirikiana nae kutuhujumu mtakua mmechelewa Sana!
Unapojifanya unaijua siasa sana kuliko hata baba wa taifa....kila kitu unaleta uccm na uchadema hapa. Nonsense!!!
 
Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari. Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!

Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima? Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!

Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu? Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA.

Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja.
Wewe ni mwal wa msingi umekosa deal LA kusimamia unalialia acha njaaa tafuta kazi ya kufanya !!! Eboooo kwani lazima usimamie!??
 
Sioni hoja hapo, kwani wanaenda kufundisha au kusimamia? Kusimamia mtu asifanye udanganyifu katika chumba cha mtihani hakuhitaji degree wala master's degree. Hivyo punguza jazba kama unahisi umedharaulika ila ni katika kutafuta utatuzi wa changamoto iliyopo. Wakiona haijaleta matunda basi watarudi kwenye utaratibu wa awali.
 
Wacha wasimamie,kwani unasema hakutakuwa na ufanisi inamaana hao walimu ndo wanaofanya hiyo paper?kama mngekuwa na uelewa sana nyie mnaojiita walimu wa sekondari msingekuwaga na semina ya mitihani basi..
Nalipongeza baraza la mitihani kwa kuliona hili,niwaombe tuu walimu wa primary mkaze hakuna cha mbinu mbadala wala nini..
Msinunuliwe kirahisi mkaharibu kazi.
 
Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari. Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!

Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima? Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!

Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu? Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA.

Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja.
Hio point ya saikoloji kua mwalimu mwenye digrii hawezi kuwa nayo kusimamia hao watoto wa darasa la 4 Ni uongo futa hiyo point andika nyingine.
 
Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari. Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!

Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima? Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!

Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu? Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA.

Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja.

Sasa jiandae , kufuatacho ni Walimu wa Shule za msingi kusimamia mitihani ya Shule za sekondari. Mtaisoma namba​

 
Nazn kimsingi neno kuzalilisha taaluma halina msingi na nazn swala usimamiz wa mitihan to any professional teacher anauwezo wa kusimamia mitihani kwakuw anajua rules na usimamiza ata awe ni wa chekechea anawez kusimamia mitihani ya Chuo

NB:-sikuhizi kunamchanganyiko hata wa kielimu wapo wenye bachelor shule za msingi (na kumbuka hakuna bachelor of primary Education) mimi naona its ok labda kama utanpa sababu zngne za msing,

Pia wanapunguz fephatism ya kimazoea kwa walimu wao wa shule za msing kam wanawasaidia.

Vier
 
Kwa sasa unajua bado walimu wa shule za msingi wote ni grade A


Wapo waliowazd elimu hadi maafisa wao elimu au wako saw
Ni jambo la kheri sababu wako knowledgeable zaidi ya ndugu zangu Grade III A
 
kati ya walimu 100 wa msingi wenye masters 0.1%, 1.5% digrii za open, saut, makumira na Jordan 18% wana diploma za taasisi ya elimu ya watu wazima, bagamoyo kuna kichuo fulani, kange, nk.


76% ni gredi IIIA na wengine wamo mkeja na darasa la saba wengi sana waliajiliwa 2000& 2001!


wengi wanajaribu kuristi wanachezea miswaki sana na tunakula sana hela zao na wengine tunawapiga machine ili tuwasovie vishazi vikurupushi.


elimu za walimu wa msingi ni sawa na polisi tu.
 
Naona unatoa siri za wateja Zako. Ndio walikufany wew ukawa na akili Hizo.
kati ya walimu 100 wa msingi wenye masters 0.1%, 1.5% digrii za open, saut, makumira na Jordan 18% wana diploma za taasisi ya elimu ya watu wazima, bagamoyo kuna kichuo fulani, kange, nk.


76% ni gredi IIIA na wengine wamo mkeja na darasa la saba wengi sana waliajiliwa 2000& 2001!


wengi wanajaribu kuristi wanachezea miswaki sana na tunakula sana hela zao na wengine tunawapiga machine ili tuwasovie vishazi vikurupushi.


elimu za walimu wa msingi ni sawa na polisi tu.
 
kati ya walimu 100 wa msingi wenye masters 0.1%, 1.5% digrii za open, saut, makumira na Jordan 18% wana diploma za taasisi ya elimu ya watu wazima, bagamoyo kuna kichuo fulani, kange, nk.


76% ni gredi IIIA na wengine wamo mkeja na darasa la saba wengi sana waliajiliwa 2000& 2001!


wengi wanajaribu kuristi wanachezea miswaki sana na tunakula sana hela zao na wengine tunawapiga machine ili tuwasovie vishazi vikurupushi.


elimu za walimu wa msingi ni sawa na polisi tu.
Hakuna Mwalimu nchini mwenye elimu ya darasa la 7! Kizazi cha darasa la 7 (Universal Primary Education - UPE) karibia chote kimeshastaafu mwaka wa jana.

Na walimu wa UPE waliajiriwa miaka ya 1970's wakati Mwalimu Nyerere alipofanya mageuzi mbalimbali! Yakiwemo ya kwenye Sekta ya Elimu.

Na hakuna mwalimu aliye ajiriwa na elimu ya darasa la 7 miaka ya 2000 na 2001! Chonde chonde acha upotoshaji. Grade A wengi elimu yao ilikuwa ni minimum Div. Four ya point 28 kupanda juu.
 
Nimeshangazwa na Maamuzi ya Baraza la mitihani NECTA kwa kuridhia usimamizi wa mitihani ya shule za msingi kufanywa na walim wa sekondari. Nadhani huu ni udhalilishaji wa taaluma za watu!

Hivi leo mwalimu mwenye shahada ya elimu sekondari amesomea wapi saikolojia ya kusimamia watoto wa Darasa la nne? Ni ufanisi gani haswa Barasa limelenga kupima? Kulikua na Haja gani ya kuwatumia walimu wa sekondari kwenye kusimamia Darasa la nne na saba!

Pia walim wa msingi kusimamia sekondari sio kuharibu misingi ya taaluma za watu? Mbinu hii haitaleta tija kwenye elimu yetu zaidi ya kuonyesha uvivu wa kufikiri kwa Watendaji wa NECTA.

Nashauri utaratibu wa zamani uendelee na maboresho yafanyike ili kutatua tatizo la mitihani kuvuja.
Tumia akili ndogo tu ya kujua msimamizi wa mtihani ana majukumu yapi. Je yanahitaji saikolojia, je yanahitaji degree.
Mtu yeyote anaweza kusimamia mtihani wowote as long as amepewa semina na kuelekezwa anapaswa kufanya nn. Msimamizi hafundishi, hatoi majibu, hasahihishi,
 
Hao wakalia viyoyozi WAMEJISAHAULISHA KAMA NI HIVI MAJUZI TU WALIWAHAMISHA WALIMU WA SEKONDARI KWENDA KUFUNDISHA SHULE YA MSINGI, tena maajabu ya firauni wengine na degree zao wakapelekwa primary wale wa diploma wakabaki sekondari...
Sasa shule za msingi na sekondari zina content sawa ya taaluma kwa walimu wake baada ya hilo zoezi tena muda mwingine wenye taaluma za juu zaidi wapo primary halafu watu kadhaa waliojipea mamlaka wanakurupuka na kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom